Ajali basi la Esther, Rav4 yaua watatu Kilimanjaro

Moshi. Watu watatu wamefariki dunia papo hapo baada ya gari aina ya Toyota Rav4 waliokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na basi la abiria la Kampuni ya Esther Kuxury, mkoani Kilimanjaro leo Jumamosi Februari mosi, 2025. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji mkoani Kilimanjaro, Jeremiah Mkomagi amesema ajali hiyo imetokea eneo la Mdawi,…

Read More

Chimbuko la M23, ilivyoanzishwa na kigogo wa jeshi – 2

Habari kuhusu M23 zimekuwa zinasikika sana katika kipindi cha zaidi ya mwongo mmoja ulipita. Lakini nini hasa  chimbuko la M23? Lilianzishwa lini na kwanini? Je, ni wapiganaji wa DRC? Ni waasi kutoka Uganda na Rwanda walioko DRC? Kwanini Jeshi la DRC linaishutumu Rwanda na Uganda kuwaunga mkono waasi wa kundi hilo katika mapigano yaliyozuka upya…

Read More

Majina ya wanaorejea soko la Kariakoo haya hapa

Dar es Salaam. Hatimaye majina 1,520 ya wafanyabiashara walio na sifa na vigezo vya kurejea katika Soko Kuu la Kariakoo yamewekwa hadharani. Sanjari na hilo, wafanyabiashara zaidi ya 366, hawataruhusiwa kurudi sokoni hapo hadi watakapolipa madeni waliokuwa wanadaiwa na Shirika la Masoko kabla soko halijaungua. Hatua hii inakuja baada ya kukamilika kwa ukarabati na ujenzi…

Read More

Majina ya wanaorejea soko la Kariakoo hadharani

Dar es Salaam. Hatimaye majina 1,520 ya wafanyabiashara walio na sifa na vigezo vya kurejea katika Soko Kuu la Kariakoo yamewekwa hadharani. Sanjari na hilo, wafanyabiashara zaidi ya 366, hawataruhusiwa kurudi sokoni hapo hadi watakapolipa madeni waliokuwa wanadaiwa na Shirika la Masoko kabla soko halijaungua. Hatua hii inakuja baada ya kukamilika kwa ukarabati na ujenzi…

Read More

Fahamu umuhimu, hatari ya mionzi kwa binadamu

Dodoma. Licha ya kutumika kutibu na kuchunguza maradhi kwenye mwili wa binadamu, mionzi ya X-Rays na Gama Rays ambayo haijadhibitiwa inaweza kusababisha maradhi kama saratani na kifo endapo itamfikia mtu kwa nje. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya nguvu za Atomu Tanzania (TAEC), Profesa Najat Mohammed, jijini Dodoma, wakati wa mahojiano na Mwananchi…

Read More

Ajali basi la Ester, Rav4 yaua watatu Kilimanjaro

Moshi. Watu watatu wamefariki dunia papo hapo baada ya gari aina ya Toyota Rav4 waliokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na basi la abiria la Kampuni ya Ester Kuxury, mkoani Kilimanjaro leo Jumamosi Februari mosi, 2025. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji mkoani Kilimanjaro, Jeremiah Mkomagi amesema ajali hiyo imetokea eneo la Mdawi,…

Read More

TAKUKURU WAPANDISHA UKUSANYAJI MAPATO KIBITI

Na Khadija Kalili, Michuzi TV TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Pwani imefanikisha kuongeza makusanyo Wilaya ya Kibiti Mkoani Pwani kwa kipindi cha Oktoba hadi Desemba 2024. “Tulifanya uzuiaji katika mfumo wa kukusanyaji wa mapato kwa kutumia POS mashine kwa kuongeza makusanyo kutoka 4,632,682.75 kwa wiki hadi Sh.Mil.12,089,760 ambapo kwa mwaka…

Read More

Huku Championship mambo hayapoi, kinapigwa tena leo

UHONDO wa Ligi ya Championship unaingia mzunguko wa 17, wikiendi hii na baada ya jana kuchezwa michezo mitatu kwenye viwanja tofauti, leo itapigwa mingine mitatu kuwania pointi tatu. Mchezo wa mapema utapigwa saa 8:00 mchana kwenye kituo cha michezo cha TFF Tanga na African Sports iliyoichapa mabao 2-1, Cosmopolitan mechi ya mwisho, itawakaribisha Maafande wa…

Read More

Mastaa Ligi Kuu Bara watuhumiwa kubeti

WAKATI kukiwa na mijadala kuhusu wachezaji wa ligi mbalimbali za soka nchini Tanzania kuhusika katika michezo ya kubashiri (betting) na kupanga matokeo, kuna jambo limeibuliwa Mkoani Mwanza na kuibua mijadala mingi miongoni mwa wadau. Jambo hilo limehusishwa moja kwa moja na baadhi ya mastaa wa klabu kongwe na maarufu jijini Mwanza ya Pamba Jiji ambayo inashiriki…

Read More