Yanga ilivyorudi kwa Fei Toto

DIRISHA la usajili likiwa limeshafungwa katika ligi za Tanzania, maisha ya soka yanaendelea, kwani kiungo nyota wa ushambuliaji pale Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ameendelea kutikisa anga za ndani na nje ya nchi. Kinachoelezwa ni kwamba, mchezaji huyo aliyewahi kukipiga Singida United na Yanga, mambo yanaendelea kwenda kwa kasi sana kuhusiana na maisha yake….

Read More

Msimamo wa bosi kubwa Max kutua Simba

WANASEMA jaMBO likimalizika, basi hufuata  au lilelile huendelea na hivyo kuwafanya watu kuendelea kulifuatilia au kuanza upya kufuatilia linalojitokeza. Hivyo ndivyo ilivyo pia kwa supastaa wa Yanga, Maxi Mpia Nzengeli ambaye pale Jangwani ni kama ameanza kutengeneza ufalme flani ndani ya kikosi cha Jangwani, licha ya kwamba hatajwi sana. Basi ndoto za klabu ya Simba…

Read More

Simba yapishana na mbeleko ya CAF, TFF yahusishwa

NI sahihi kusema Simba imepishana na gari la mshahara baada ya Shirikisho la Soka Afrika (Caf) kupitisha uamuzi wa kuruhusu klabu kuwatumia wachezaji ambao wameshatumikia klabu nyingine kwenye mashindano ya klabu Afrika, uamuzi ambao unaanza msimu huu. Hiyo ni kutokana na Simba kutokuwa na uwezo wa kumsajili mchezaji katika kipindi hiki kutokana na kufungwa kwa…

Read More

JAFO AZINDUA MFUMO WA KUTUMIA KAMERA ZA KIDIGITALI NA STIKA YA UTAMBUZI WA GHALA

WAZIRI wa Viwanda na Biashara,Mhe.Dkt.Selemani Jafo,akiangalia mfumo unavyofanya kazi mara baada ya kuzindua Mfumo wa kutumia kamera za kidijitali na stika ya utambuzi wa ghala,hafla iliyofanyika leo Januari 31,2025 jijini Dodoma Na.Mwandishi Wetu-DODOMA WAZIRI wa Viwanda na Biashara,Mhe.Dkt.Selemani Jafo ameitaka Bodi ya Usimamizi na Stakabadhi za Ghala kuusimamia Mfumo wa kutumia kamera za kidijitali na…

Read More

Maeneo muhimu kwa hali ya hewa ya ulimwengu yanatishiwa na miradi ya uchumi – maswala ya ulimwengu

François Kamate na Civicus Ijumaa, Januari 31, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Jan 31 (IPS) – Civicus anajadili harakati dhidi ya minada ya mafuta katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na François Kamate, mwanzilishi na mratibu wa harakati za kujitolea za Mazingira za Vijana za Kutokomeza Uasi Rutshuru. François Kamatein Oktoba 2024, wanaharakati…

Read More