Watoto wawili kati ya 100 huzaliwa na tatizo la moyo nchini

Dodoma. Watoto wawili kati ya 100 huzaliwa na tatizo la moyo nchini kila mwaka, huku wataalamu wakibainisha kuwa wengi hawagunduliki mapema na hufariki wakitibiwa magonjwa mengine ikiwemo kukosa pumzi, kifua kikuu na nimonia. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa kupitia wataalamu wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete JKCI kupitia huduma mkoba katika mikoa 20, walibaini…

Read More

Enabel, YAJA NA UBUNIFU SHIRIKISHI NA MAABARA MUBASHARA KUTATUA CHANGAMOTO ZA MWANZA

Kupitia mradi wake wa Inclucities, unahimiza miji shirikishi, inayohimiza utunzaji wamazingira na janja, Shirika la maendeleo la Ubelgiji, Enabel, limewaita wavuvi, wafanyabiashara, viongozi, maofisa wa serikali, watumia bidhaa na wadau wa maendeleo kujifunza mbinu iitwayo ubunifu shirikishi na maabara live katika kutatua changamoto. Kanuni ya mbinu hii si ngumu. Tambua tatizo, kuliweka bayana, kubuni ufumbuzi,…

Read More

Papa ateua askofu msaidizi Jimbo Kuu Katoliki Tabora

Dar es Salaam. Papa Francis amemteua Padri Josaphat Bududu wa Jimbo Kuu Katoliki Tabora, kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki Tabora. Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo Februari 26, 2025 na Padri Charles Kitima, Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Mteule Bududu alizaliwa Machi 26, 1977…

Read More

M23 waiponza Rwanda, Uingereza yaisitishia misaada

Kigali. Rwanda imekuwa ikituhumiwa na Serikali ya Rais Felix Tshisekedi wa DRC na Umoja wa Mataifa (UN) kuwafadhili waasi hao, hata hivyo, Rais Paul Kagame kupitia mahojiano yake na CNN mwezi uliopita alikanusha kulifadhili kundi hilo. Pia, Rais Kagame alipoulizwa juu ya uwepo wa askari wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF) alidai hana taarifa…

Read More

Elon Musk apoteza Sh300 trilioni ndani ya miezi miwili

Marekani. Utajiri wa Elon Musk, ambaye ni tajiri namba moja duniani, umeendelea kushuka na safari hii zaidi dola bilioni 22.2  (Sh57 trilioni) zimepungua ndani ya siku moja. Desemba 2024 utajiri wake ulifikia kiango cha juu cha Dola 480 bilioni, lakini sasa umepungua kwa takriban dola 116 bilioni hadi kufikia dola 364.3 bilioni Februari 2025, kwa…

Read More

DC SAME AKERWA NA USIMAMIZI MBOVU WA MRADI WA MAJI

  Na Ashrack Miraji – Michuzi blog Mkuu wa Wilaya ya Same, Mhe. Kasilda Mgeni, ameonesha kukerwa na usimamizi wa mradi wa maji unaotekelezwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) katika Kata ya Kisiwani, wilayani humo. Licha ya serikali kutoa shilingi milioni 720 kwa ajili ya mradi huo, bado haujanufaisha walengwa,…

Read More

Mamia wafurika maziko aliyeshiriki tukio la kuchanganya udongo

Hai. Mamia ya waombolezaji wamejitokeza katika Usharika wa Nkwarungo Machame, kushiriki ibada ya maziko ya Sifael Shuma (92) aliyekuwa mmoja wa vijana wanne walioshiriki tukio la kuchanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar Aprili 26, 1965. Tukio hilo lilifanyika ikiwa ni mwaka mmoja baada ya kuasisiwa kwa muungano Aprili 26, 1964. Sifael ambaye alifariki dunia Februari…

Read More