Kilimo cha kutegemea mvua chaathiri umwagiliaji

Unguja. Serikali imekiri mpaka sasa wanatumia kilimo cha kutegemea mvua za msimu na kuathiri uzalishaji wa kilimo. Hata hivyo, Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo inaendelea na jitihada za kuongeza ukubwa wa maeneo ya kilimo cha umwagiliaji. Hayo yamesemwa na waziri wa wizara hiyo, Shamata Shaame Khamis leo Jumatano Februari 26,205 katika mkutano wa…

Read More

TAASISI NYINGINE ZIIGE MFANO WA VERTEX – CMSA

  MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji Tanzania (CMSA) imezitaka taasisi nyingine kuiga jambo zuri la kufanya, tathimini ya utendaji wa masoko ya mitaji kwa mwaka 2024 na matarajio ya mwaka 2025. Hayo yamebainishwa leo na Mtendaji Mkuu wa CMSA CPA Nicodemas Mkama ambaye alikuwa mgeni rasm katika hafla hiyo iliyofanyika Hyatt Regency jijini Dar es…

Read More

Kigogo… Pacome tatizo Aziz KI

JAMAA aliyemleta kiungo wa Yanga, Pacome Zouzoua nchini ametazama kiwango cha mchezaji huyo kwenye mchezo dhidi ya Mashujaa na kusema kinachomzuia staa huyo kuonyesha makali yake zaidi ni nafasi anayocheza. Pacome ambaye amekuwa mchezaji muhimu kwenye kikosi cha Yanga kuanzia amejiunga na kikosi hicho  alionyesha kiwango cha juu kwenye mechi iliyopita na kutoa pasi mbili…

Read More

Yaliyofanywa na Serikali sekta ya ujenzi, uvuvi

Pangani. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema tangu Serikali ya awamu ya sita iingie madarakani Machi 19, 2021 imekamilisha ujenzi wa madaraja manane yaliyoanza kujengwa na awamu zilizopita. Ulega ameyataja baadhi ya madaraja hayo kuwa ni Tanzanite la Dar es Salaam, Kitengule mkoani Kagera na Msingi la Singida ambayo kwa ujumla wake yamegharimu Sh381 bilioni….

Read More

BoT yanunua zaidi ya tani mbili za dhahabu

Mtwara. Wakati Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ikipanga kununua tani sita za dhahabu kila mwaka, tayari imenunua zaidi ya tani mbili tangu ianze mpango huo mwaka 2024. Mpango wa kununua dhahabu ulianza Julai mwaka jana, lakini utekelezaji wake ukaanza Oktoba. Lengo ni kuwa na dhahabu kama sehemu ya akiba yake ya fedha za kigeni. Hayo…

Read More

Mshery kama Aziz KI, aoa asamehe fungate

KIPA wa Yanga, Aboutwalib Mshery, jana amevuta jiko katika tukio ambalo halikuwa na mbwembwe nyingi, lakini leo asubuhi akashtua akiwa kwenye msafara wa timu hiyo ikiifuata Pamba Jiji. Mshery anakuwa staa wa pili wa Yanga kufunga ndoa ndani ya Februari kisha kusamehe fungate akitanguliwa na kiungo Stephanie Aziz KI aliyemuoa Hamisa Mobetto. Kama ambavyo ilikuwa…

Read More