
Gachagua amuahidi Raila urais Kenya 2027 – Global Publishers
Last updated Feb 26, 2025 Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua (kushoto) kiongozi wa ODM, Raila Odinga (kulia) Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, amesema kwamba anaweza kumfanya kiongozi wa ODM, Raila Odinga kuwa rais wa Kenya iwapo atakubali kuungana naye na vigogo wengine wa upinzani. Gachagua amesema kwamba…