Usaliti, fitna vyaundiwa mkakati UVCCM

Moshi/Shinyanga. Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) umewaonya vijana juu ya usaliti, fitna, mgawanyiko katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, ili kujihakikishia ushindi wa kishindo. Pia umewasisitiza kuzingatia maadili, uadilifu na kudumisha umoja na mshikamano huku ukisema CCM lazima ishinde katika uchaguzi mkuu ujao kwa lengo la kuendelee kutatua shida na changamoto…

Read More

RAIS MWINYI AFUNGUA TRACE AWARDS 2025

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa  Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema   Serikali itaendelea  kuwaunga Mkono  Wasanii kwani ni  Muhimu katika Kukuza Utalii, Uwekezaji na Urithi wa Utamaduni miongoni mwa Jamii.  Rais Dkt. Mwinyi amesema hayo alipolifungua  Tamasha la Tuzo za Muziki la Trace Awards kwa mwaka 2025 linalofanyika  Hoteli ya…

Read More

WAKAZI WA KIJIJI CHA MTERAWAMWAHI WILAYA YA NAMTUMBO KUPATA MAJI YA UHAKIKA NI BAADA YA RUWASA KUCHIMBA KISIMA KIREFU CHA MAJI

WAKAZI zaidi 6,000 wa vijiji vya Kilimasera,Ukiwayuyu,Mtakanini,Mterawamwahi na Matependwe Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma,wanatarajiwa kuondokana na kero ya muda mrefu ya huduma ya maji safi na salama. Ni baada ya Serikali kuipatia Wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa) Wilaya ya Namtumbo Sh.milioni 300,000 kwa ajili ya kutekeleza programu ya uchimbaji wa…

Read More

UVCCM wajifungia wilayani Hai kufundana kuelekea uchaguzi mkuu

Moshi/Shinyanga. Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) umewaonya vijana juu ya usaliti, fitna, mgawanyiko katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, ili kujihakikishia ushindi wa kishindo. Pia umewasisitiza kuzingatia maadili, uadilifu na kudumisha umoja na mshikamano huku ukisema CCM lazima ishinde katika uchaguzi mkuu ujao kwa lengo la kuendelee kutatua shida na changamoto…

Read More