Mbeya. Mama mzazi wa mwandishi Furaha Simchimba, aliyefariki dunia katika ajali iliyoua wanne, Yusta Mwaisakila amejikuta akipoteza fahamu kwa muda kwenye mazishi ya mwanaye, huku
Month: February 2025

Dar es Salaam. Miradi 10 ya utafiti nchini Tanzania imepata ruzuku ya utafiti chini ya mfuko wa DEEP Challenge Fund unaotoa fedha kwa watafiti wanaokusanya

YANGA imeendeleza wimbi la ushindi katika mechi za Ligi Kuu Bara baada ya leo jioni kutoa kichapo cha mabao 3-0 ugenini mbele ya Pamba Jiji

SIKU chache baada ya kutangazwa kuwa meneja wa Singida Black Stars, straika nyota wa zamani wa Simba na Yanga aliyeacha alama katika Ligi Kuu, Amissi

BAO la kujifunga la dakika ya 36 lililowekwa kimiani na beki Dissan Galiwango wa Dodoma Jiji katika harakati za kuokoa krosi na Nelson Munganga wa

Tanga. Rais Samia Suluhu Hassan amesema miongoni mwa matamanio yake ni kuurejesha Mkoa wa Tanga kuwa wa viwanda, kama ulivyowahi kuwa kabla. Katika kulifanikisha hilo,

Tanga. Ikiwa leo ndiyo mara ya kwanza unafika Tanga, usingeacha kujiuliza kwa msemo maarufu wa ‘Tanga ku nani?’ Sio mambo ya mahaba, bali ni mishemishe

Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Februari 28,2025 Mkoa wa Pwani umepokea kwa heshima kubwa kuteuliwa kuwa mwenyeji wa uzinduzi wa Mwenge wa Uhuru kitaifa kwa mwaka

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe Maalum wa Naibu Waziri Mkuu

Mabalozi wa Serikali za Tanzania na Msumbiji wamefanya kikao cha ujirani mwema kilicholenga kudumisha uhusiano wa kiuchumi baina ya nchi hizo mbili. Kikao hicho kimefanyika