
Mwili wa mwandishi aliyefariki ziara ya CCM wazikwa, mama azimia
Mbeya. Mama mzazi wa mwandishi Furaha Simchimba, aliyefariki dunia katika ajali iliyoua wanne, Yusta Mwaisakila amejikuta akipoteza fahamu kwa muda kwenye mazishi ya mwanaye, huku vilio na simanzi vikitawala wakati wa kumpumzisha marehemu huyo. Simchimba ni miongoni mwa watu wanne waliofariki dunia Februari 25 katika ajali iliyohusisha gari la Serikali na basi la Kampuni ya…