Mchome atoa saa 48 Chadema, amtaja Lissu na Mnyika

Arusha. Sakata la barua ya malalamiko kuhusu uteuzi wa viongozi ulioufanywa na Tundu Lissu wa watendaji wa juu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na wajumbe wa kamati kuu limeendelea kuibua mjadala, baada ya muhusika kuibuka akitaka malalamiko yake yajibiwe na si vinginevyo. Barua hiyo ni ya kada wake, Lembrus Mchome, aliyoiandika kwenda kwa…

Read More

Kijana wa Kitanzania abuni mfumo wa AI, maajabu yake

Dar es Salaam. Wengi wanaoitaja Tanzania kuwa ina utajiri wa rasilimali, huorodhesha  vitu kama vile, ardhi, vito vya thamani, uoto wa asili na vinginevyo. Wanachosahau  ni kuwa nchi hiyo kubwa zaidi katika ukanda wa Afrika Mashariki, ina rasilimali watu wanaokuna vichwa vyao barabara. Katika orodha hiyo, yumo kijana Noel Sebastian (24) mkazi wa Gongolamboto, Dar es…

Read More

Kijana wa Kitanzania abuni mfumo wa Akili Mnemba

Dar es Salaam. Wengi wanaoitaja Tanzania kuwa ina utajiri wa rasilimali, huorodhesha  vitu kama vile, ardhi, vito vya thamani, uoto wa asili na vinginevyo. Wanachosahau  ni kuwa nchi hiyo kubwa zaidi katika ukanda wa Afrika Mashariki, ina rasilimali watu wanaokuna vichwa vyao barabara. Katika orodha hiyo, yumo kijana Noel Sebastian (24) mkazi wa Gongolamboto, Dar es…

Read More

Anayedaiwa kuendesha biashara ya upatu ajifungua gerezani

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeelezwa kuwa Mkurugenzi wa kampuni ya mikopo ya Atlantic Micro Credit Limited, Wendy Ishengoma (38) anayekabiliwa na mashitaka ya kuendesha biashara ya upatu, ameshindwa kufika mahakamani hapo kutokana na kujifungua. Mshtakiwa huyo ambaye alifutiwa shitaka moja la kutakatisha fedha, amejifungua mtoto wa kiume, Ijumaa Februari 21, 2025…

Read More