
Kiongozi Wa Upinzani Israel Amshutumu Netanyahu – Global Publishers
Yair Golan, kiongozi wa Chama cha Kidemokrasia cha Israel Kiongozi wa upinzani katika utawala wa Israel amemshutumu waziri mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza na kubadilishana mateka na Hamas baada ya kuchelewesha zoezi la kuwaachia huru Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye jela za utawala huo. Yair Golan,…