Sababu Wazanzibar kutonufaika na uwekezaji, miradi ya utalii

Unguja. Licha ya msisitizo kwa wawekezaji kuhakikisha wanawaajiri wazawa katika miradi ya uwekezaji, bado wananchi kisiwani hapa wanahisi kutonufaika na fursa zinazotajwa huku Serikali ikisema tatizo ni viwango. Akizungumza katika Baraza la Wawakilishi leo Jumanne Februari 25, 2025, Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Mudrick Ramadhani Soraga amesema wazawa hawajanufaika na fursa za…

Read More

Wanafunzi 121 wa UDOM waondolewa masomoni

Dodoma. Wanafunzi 121 wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), wameondolewa katika masomo (discontinue) kwa tuhuma za kuchezea matokeo, huku kesi 15 zikiendelea na uchunguzi zaidi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kitengo cha mawasiliano na masoko cha chuo hicho,  jumla ya wanafunzi 170 walituhumiwa kuchezea mfumo wa matokeo (SR2) mwaka 2023/24. “Serikali iliunda kikosi kazi…

Read More

Kocha Tanzania Prisons akataa unyonge

ACHANA na kupoteza mechi tatu mfululizo, Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Aman Josiah amesema hatarajii wachezaji wake kurudia makosa wakati wakiivaa Fountain Gate leo akisisitiza pointi muhimu. Prisons inatarajia kuwa ugenini kukipiga dhidi ya wapinzani hao mchezo ukipigwa Uwanja wa Kwaraa huko mkoani Manyara ukiwa wa raundi ya 22, huku kila timu ikihitaji pointi tatu…

Read More

Tuko Tayari Usitishaji Mapigano – Global Publishers

Muungano wa waasi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Alliance Fleuve Congo (AFC), unaojumuisha waasi wa M23, umetangaza kuwa tayari kushiriki mazungumzo na serikali ili kusitisha mara moja mapigano mashariki mwa nchi, msemaji wa kundi hilo amesema.Lawrence Kanyuka amechapisha ujumbe kwenye ukurasa wake wa mtandao waa X, akitangaza kuwa AFC imejitolea kwa…

Read More