Mashahidi waeleza walivyobaini mabaki ya mwili wa Josephine

Moshi. Mashahidi wa Upande wa Jamhuri katika kesi ya mauaji ya kukusudia inayomkabili, Josephine Mngara (30), aliyeuawa kwa kuteketezwa kwa moto, wameieleza Mahakama namna walivyobaini uwepo wa mabaki ya mwanadamu. Mbali na mashahidi hao, daktari aliyeuchunguza mwili huo, ameeleza ulikuwa ni mkaa isipokuwa sehemu ya nyuma ya kichwa, mapafu na moyo, misuli ya makalio na…

Read More

Mashabiki wataja kete ya ubingwa Bara

WAKATI mashabiki wa Yanga wakichekelea matokeo ya sare waliyoipata watani zao, Simba dhidi ya Azam, mashabiki wa Wekundu wamesema suala la ubingwa bado wakitaja michezo ya kuamua hatima ya taji msimu huu. Jana Simba ikiwa wenyeji wa Azam waliambulia sare ya mabao 2-2 na kufanya Yanga kuendelea kubaki kileleni kwa pointi 55 licha ya kutangulia…

Read More

Kiongozi wa walimu wasio na ajira akamatwa, mjomba asimulia

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasiokuwa na Ajira Tanzania kuanzia mwaka 2015 hadi 2023 (Neto), Joseph Kaheza anadaiwa kutiwa mbaroni na Polisi  mkoani Geita. Chanzo cha Kaheza kukamatwa kinatajwa kuanzisha vuguvugu la kuishinikiza Serikali kuwapatia ajira. Taarifa za kukamatwa kwake, zimethibitishwa na Katibu wa umoja huo, Daniel Edgar baada ya kupata taarifa…

Read More

Huku kukiwa na kushirikiana, Mkutano Mkuu unapitisha azimio la kulaani uchokozi wa Urusi – maswala ya ulimwengu

Azimio hilo lililowekwa na Merika, ambalo liliacha kutaja uchokozi wa Urusi, lilipitishwa tu baada ya nchi nyingi wanachama kupiga kura kuongeza marekebisho yaliyoongozwa na EU ambayo yalisababisha Amerika kujizuia mwendo wake wenyewe na kupiga kura dhidi ya maandishi ya Kiukreni. Walakini, maandishi katika azimio la asili la Amerika lilipitishwa masaa kadhaa baadaye katika Baraza la…

Read More