Majeraha yamtibulia Yacouba Songne | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI nyota wa Tabora United, Yacouba Sogne huenda akakosa mechi zilizosalia za Ligi Kuu Bara kutokana na kusumbuliwa na majeraha yaliyomuweka nje ya uwanja kwa muda mrefu, kwani hivi sasa yupo Morocco kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji. Yacouba aliyetua Tabora msimu huu akitokea AS Arta Solar ya Djibouti, ni wazi kuwa hajaanza kazi vizuri msimu…

Read More

Medo aibukia Singida Black Stars

Siku chache baada ya kuachana na Kagera Sugar, kocha Melis Medo ameibukia Singida Blacks Stars akiajiriwa katika nafasi ya kocha msaidizi. Medo ameachana na Kagera Sugar mwishoni mwa wiki iliyopita kutokana na mfululizo wa matokeo yasiyoridhisha kwenye Ligi katika siku za hivi karibuni. Taarifa iliyotolewa na Singida Black Stars leo, Jumanne, Februari 25, 2025 imeeleza…

Read More

Jonathan Sowah kumchomoa mtu Yanga

EBU vuta picha msimu ujao katika safu ya ushambuliaji ya Yanga yenye Prince Dube na Clement Mzize wenye jumla ya mabao 20 akiongezeka Jonathan Sowah ambaye ameanza kuonyesha makali yake Ligi Kuu Bara akiwa na Singida Black Stars.  Sowah amekuwa kwenye mazungumzo ya muda mrefu na viongozi wa Yanga tangu msimu uliopita wa Ligi ya…

Read More

‘Mzimu’ wa mastaa kubeti unavyotikisa Ligi Kuu

Miaka 30 iliyopita, kulikuwa na staa mmoja wa soka la Colombia, ambaye aliuawa kwa kupigwa risasi huko kwao. Unajua ilikuwaje? Ni stori ya kuhuzunisha ya Andrés Escobar Saldarriaga (Gentleman), moja ya mastaa waliokumbwa na janga kubwa kuwahi kutokea kwenye soka. Staa huyo alikuwa beki wa timu ya taifa ya Colombia na klabu za Atletico Nacional,…

Read More

Usaili unapogeuka kilio kwa walimu wasio na ajira

Wiki mbili zilizopita nilipita mitaa ya Kwa Magimba, Kata ya Chamazi, jijini Dar es Salaam, nikakutana na kijana niliyemfundisha kidato cha sita miaka saba  iliyopita. Alinikumbuka na kunisabahi kwa heshima, nilimuona kachakaa,  aliegesha pikipiki yake pembeni, huku akiwa amejaa vumbi la unga. Akaniuliza kama namkumbuka, ukweli  sikuweza kumkumbuka kutokana na hali yake au pengine miaka…

Read More

Sekretarieti ya ajira yajitosa usaili wa walimu

Februari 19, 2025 Sekretarieti ya ajira ilitoa ufafanuzi kuhusu mjadala wa usaili kwa walimu unaoendelea mtandaoni. Taarifa ya ufafanuzi iliyotolewa na Lynn Chawala, Mkuu wa kitengo cha mawasiliano serikalini, ilieleza yafuatayo: ‘’ Usaili wa kada za ualimu kujaza nafasi 14,648 zilizotolewa na  Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa lengo…

Read More

Ajira za walimu sasa mjadala kila kona

Dodoma. Mjadala unaoendelea sasa ni ajira kwa walimu. Ni mjadala wenye sura mbili. Mosi ni wasiwasi uliopo kuhusu utaratibu mpya wa walimu hao kufanya usaili, tofauti na ilivyokuwa zamani, walipokuwa wakiitwa na kupangiwa vituo. Pili, tangazo la ajira mpya za walimu lililotolewa Januari 2025, limekuja na kilio kingine cha kuwachanganya walimu waliomaliza kwa vipindi tofauti….

Read More

Sababu wanafunzi kusahau wanayofunza darasani

Ajabu ya kumbukumbuku ni kuwa tunasahau tunayotaka kukumbuka na tunakumbuka tunayotaka kusahau. Kusahau ni sehemu ya maumbile ya binadamu; inabidi mtu asahau ili taarifa zingine zihifadhike.  Usahaulifu ninaozungumzia ni ule wa mtu kutaka kukumbuka halafu anasahau na hasa wanafunzi wanapokuwa wanajiandaa na mitihani au wakiwa ndani ya chumba cha mitihani. Sababu zinazowafanya wanafunzi wasahau ni…

Read More

Mapya afya ya Papa Francis, Vatican yasema…

Roma. Afya ya Papa Francis (88) imeanza kuimarika ikilinganishwa na hapo awali, ambapo kwa mujibu wa taarifa kutoka Ofisi ya Papa (Holy See) matatizo ya figo yaliyoibuka kwa kiongozi huyo wa kiroho siyo ya kutia hofu tena. Taarifa iliyotolewa usiku wa kuamkia leo Jumanne Februari 25,2025, inasema,  “hali ya kiafya ya Baba Mtakatifu, ingawa ni…

Read More

Thamani iliyofichika katika taka za kielektroniki -2

Dar es Salaam. Tanzania inakabiliana na changamoto za usimamizi wa taka za kielektroniki kutokana na ukosefu wa elimu, teknolojia na miundombinu bora. Taka hizi zenye kemikali hatarishi zina madhara kwa mazingira na afya ya binadamu. Hata hivyo, zina thamani kiuchumi kupitia urejelezaji wa rasilimali kama shaba, plastiki na dhahabu. Mwenyekiti wa Mtaa wa Feri, Juma…

Read More