MSHINDI WA KITILA JIMBO CUP KUPATA BAJAJ

  Michuano ya soka inayofahamika kama Kitila Jimbo Cup iliyoandaliwa na Mbunge wa Jimbo la Ubungo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo inatarajiwa kuhitimishwa February 28 mwaka huu. Fainali za michuano hiyo zitafanyika katika Uwanja wa Kinesi kwa kuzikutanisha timu za Wima kutoka Kata ya Mburahati na Baruti…

Read More

Wanaodaiwa kuiba mafuta ya Tipper kuendelea kusota rumande

Dar es Salaam. Washtakiwa  wa kesi ya wizi wa mafuta katika visima  vya kampuni ya Kimataifa ya Kuhifadhi Mafuta, Tiper Tanzania Ltd (Tiper), wataendelea kusota rumande kwa siku nyingine 14, kabla ya kurejeshwa mahakamani kujua hatima ya upelelezi wa kesi inayowakabili. Hatua hiyo inatokana na upelelezi wa kesi yao kutokakamilika. Washtakiwa hao ni aliyekuwa dereva…

Read More

Rais Samia ataka tathimini ya mashamba yasiyoendelezwa

Korogwe. Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kufanywa tathimini ya mashamba makubwa yasiyoendelezwa wilayani Korogwe mkoani Tanga, ili kujua taarifa zake na hatimaye yatumiwe na wananchi. Chimbuko la agizo hilo ni hoja iliyoibuliwa na Mbunge wa Korogwe Vijijini, Timotheo Mzava aliyesema kuna mashamba mengi makubwa katika eneo hilo na hayaendelezwi. Rais Samia ametoa agizo hilo leo,…

Read More

Kilio cha fidia uharibifu wa wanyama chapata jawabu

Lushoto. Kilio cha fidia kwa wananchi wanaoathiriwa na wanyamapori kimesikika, baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza kanuni zake ziangaliwe upya. Kuangaliwa upya kwa kanuni hizo kwa mujibu wa mkuu huyo wa nchi, kunalenga kuzifanya ziwezeshe utoaji fidia utakaolingana kiwango cha madhara anayosababishiwa na mwananchi. Agizo hilo la Rais Samia, linafuta machozi ya wananchi wanaoishi…

Read More

Upelelezi kesi ya kumiliki kobe 116,  bado ‘kiza’

Dar es Salaam. Serikali imeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi katika kesi ya kuongoza genge la uhalifu na kumiliki kobe 116 inayowakabili watu wanane wakiwemo maofisa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere( JNIA) pamoja na raia wa Ukraine, haujakamilika. Wakili wa Serikali, Gloria Kilawi ameieleza Mahakama leo Jumatatu Februari 24,…

Read More

RAIS MWINYI:TUSIPANDISHE BEI ZA BIDHAA ZA VYAKULA WAKATI WA RAMADHANI

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi ameeleza kuridhishwa na upatikanaji wa Bidhaa za Vyakula na kuwataka Wafanyabiashara Kutopandisha Bei wakati Ramadhani itakapoanza. Rais Dkt.Mwinyi amesema hayo alipotembelea Masoko ya Jumbi , Mwanakwerekwe na Darajani kuangalia Mwenendo wa Biashara na Upatikanaji wa Bidhaa za Vyakula kuelekea Mwezi Wa Ramadhani….

Read More

Wakulima wa matikiti Kishapu walia fisi kuharibu mazao

Shinyanga. Wakulima wa zao la matikiti katika Kijiji cha Kishapu kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, wanalazimika kujenga mahema mashambani ili kukabiliana na uharibifu wa zao hilo unaofanywa na fisi. Hayo yamebainishwa leo Februari 24, 2025 na Katibu wa kikundi cha Jipagile kilichopo katika kijiji hicho, Samwel Lusona amesema fisi hao hula…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN MWINYI AMAKUTANA NA UJUMBE WA BENKI YA DUNIA IKULU ZANZIBAR LEO 18-2-2025

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Benki ya ya Dunia, ukiongozwa na Meneja Muendeshaji wa Benki ya Dunia Kanda ya Kusini mwa Afrika. Milena Stefanova (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 18-2-2025 na (kushoto kwa Rais) Waziri…

Read More