Mzee mwenye miaka 103 adaiwa kuuawa na watoto wake

Geita. Mzee mwenye umri wa miaka 103, Hussen Bundala ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wanaodaiwa kuwa ni watoto wake. Mzee huyo, mkazi wa Kitongoji cha Ihanamilo kilichopo kata ya Nyamtukuza, Wilaya ya Nyanghwale mkoani Geita, aliuawa Februari 5, 2025. Kufuatia mauaji hayo ambayo chanzo chake…

Read More

Medo avunja ukimya kutimuliwa Kagera Sugar

ALIYEKUWA kocha mkuu wa Kagera Sugar, Melis Medo anayedaiwa kutemwa na timu hiyo kutokana na matokeo mabaya iliyonayo katika Ligi Kuu, amevunja ukimya kwa kuandika kilichomuondoa ndani ya timu hiyo inayochungulia shimo la kushuka daraja ikishika nafasi ya 15 kati ya timu 16 za ligi hiyo. Kocha huyo raia wa Marekani inaelezwa amepigwa chini saa…

Read More

Scholz aangukia pua uchaguzi wa Ujerumani, Merz Kansela mpya

Berlin. Matokeo ya awali katika uchaguzi wa kitaifa nchini Ujerumani yanaonyesha chama cha Conservatives kikiongozwa na mgombea wake, Friedrich Merz kimeshinda uchaguzi huo dhidi ya vyama vingine kikiwemo cha Kansela wa sasa, Olaf Scholz. Katika matokeo ya uchaguzi huo yaliyotangazwa leo Jumatatu Februari 24, 2025, chama cha mlengo wa kulia cha Altenative for Germany (AfD),…

Read More