Mzee mwenye miaka 103 adaiwa kuuawa na watoto wake

Geita. Mzee mwenye umri wa miaka 103, Hussen Bundala ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wanaodaiwa kuwa ni watoto wake. Mzee huyo, mkazi wa Kitongoji cha Ihanamilo kilichopo kata ya Nyamtukuza, Wilaya ya Nyanghwale mkoani Geita, aliuawa Februari 5, 2025. Kufuatia mauaji hayo ambayo chanzo chake…

Read More

Mtalii aliyepotea Kisiwa cha Songosongo apatikana akiwa hai

Kilwa. Mtalii aliyepotea katika bahari ya Hindi  Kisiwa cha Songosongo wakati akifanya utalii amepatikana akiwa hai katika eneo la Kilwa Kivinje wilayani Kilwa mkoani Lindi. Raia wa kigeni kutoka nchini Ufaransa, Nakar Fszman (51), amepatikana akiwa hai baada ya kupotea katika Bahari ya Hindi, eneo la Kisiwa cha Songosongo, Wilaya ya Kilwa. Taarifa ya Jeshi…

Read More

Medo avunja ukimya kutimuliwa Kagera Sugar

ALIYEKUWA kocha mkuu wa Kagera Sugar, Melis Medo anayedaiwa kutemwa na timu hiyo kutokana na matokeo mabaya iliyonayo katika Ligi Kuu, amevunja ukimya kwa kuandika kilichomuondoa ndani ya timu hiyo inayochungulia shimo la kushuka daraja ikishika nafasi ya 15 kati ya timu 16 za ligi hiyo. Kocha huyo raia wa Marekani inaelezwa amepigwa chini saa…

Read More

ACT yakwaa kisiki, Mahakama yahalalisha ushindi wa CCM

Dar es Salaam. Mrufani, Salum Bakari Malunge (70) aliyevaa kofia, anayetumikia kifungo cha maisha gerezani kwa kosa la kulawiti pamoja kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka binti mwenye umri chini ya miaka 18, akiwa ameshikwa mkono na mrufani mwenzake Isdori Mushi (55) wakitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakati kesi zao…

Read More

Scholz aangukia pua uchaguzi wa Ujerumani, Merz Kansela mpya

Berlin. Matokeo ya awali katika uchaguzi wa kitaifa nchini Ujerumani yanaonyesha chama cha Conservatives kikiongozwa na mgombea wake, Friedrich Merz kimeshinda uchaguzi huo dhidi ya vyama vingine kikiwemo cha Kansela wa sasa, Olaf Scholz. Katika matokeo ya uchaguzi huo yaliyotangazwa leo Jumatatu Februari 24, 2025, chama cha mlengo wa kulia cha Altenative for Germany (AfD),…

Read More