Arusha. Mahakama ya Rufani, imemng’ang’ania mkazi wa Kijiji cha Upendo, wilayani Chunya Mkoa wa Mbeya (jina linahifadhiwa), aliyembaka binti yake wa kumzaa aliyekuwa na umri
Month: February 2025

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amesema kuwa mapambano ya uhuru wa kiuchumi na ustawi wa kijamii katika nchi

AZAM FC juzi usiku ililazimishwa sare ya bao 1-1 nyumbani na Namungo, ikikamilisha mechi ta tatu mfululizo bila kuonja ushindi. Azam ilianza na suluhu na

Moshi. Wakati upande wa utetezi ukifunga ushahidi wake katika kesi ya mauaji ya Josephine Mngara (30) aliyeuawa na kuteketezwa kwa kuchomwa moto, hukumu ya kesi

Dar es Salaam. Madaktari bingwa wa watoto nchini wamependekeza itengenezwe aplikesheni maalumu itakayotumika kwenye simu janja kuwasaidia wataalamu wa afya kubaini na kutibu magonjwa adimu

Wafanyikazi wawili wa shamba huchagua chakula kwenye chafu. Maoni na Matt Freeman (London) Ijumaa, Februari 28, 2025 Huduma ya waandishi wa habari London, Feb 28

Unguja. Tathimini ya uwiano wa wagonjwa na wahudumu wa afya Zanzibar mwaka 2023/24 imeonesha kuwa kila daktari mmoja anatibu wagonjwa 3,904 ambapo kwa mwaka 2021/22

Dar es Salaam. Kama moja ya miji inayoongoza kwa ukuaji haraka barani Afrika, Dar es Salaam inakabiliana na changamoto kutokana na mabadiliko ya haraka ya

Na Mwandishi Wetu, JAB, Dar es Salaam Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Palamagamba Kabudi, Wiki ijayo anatarajiwa kuzindua Bodi ya Ithibati ya

Dodoma. Serikali imeagiza bodi ya kima cha chini cha mshahara kuwasilisha mapendekezo ya viwango vya mishahara kwa kuzingatia hali halisi ya maisha na kuepusha migogoro