Mahakama yamng’ang’ania baba aliyembaka binti yake

Arusha. Mahakama ya Rufani, imemng’ang’ania mkazi wa Kijiji cha Upendo, wilayani Chunya Mkoa wa Mbeya (jina linahifadhiwa), aliyembaka binti yake wa kumzaa aliyekuwa na umri wa miaka 12, baada ya kurudi nyumbani akiwa amelewa ikisisitiza kifungo cha miaka 30 jela alichopewa ni sahihi. Tukio hilo lilitokea kijijini humo Desemba 24,2019 ambapo mwanaume huyo aliyekuwa ametengana…

Read More

Maeneo matano Taoussi amefeli Azam FC

AZAM FC juzi usiku ililazimishwa sare ya bao 1-1 nyumbani na Namungo, ikikamilisha mechi ta tatu mfululizo bila kuonja ushindi. Azam ilianza na suluhu na Coastal Union, kisha kupata sare ya 2-2 na Simba kabla ya juzi tena kubanwa nyumbani na Namungo baada ya Gibril Sillah kufunga bao la kusawazisha dakika chache kabla ya mapumziko….

Read More

Utafiti wabaini changamoto kwa madaktari kubaini magonjwa adimu

Dar es Salaam. Madaktari bingwa wa watoto nchini wamependekeza itengenezwe aplikesheni maalumu itakayotumika kwenye simu janja kuwasaidia wataalamu wa afya kubaini na kutibu magonjwa adimu nchini. Magonjwa adimu ni yale yanayowasibu watu wachache duniani, idadi yake ikikadiriwa kuwa kati ya 7,000 mpaka 8,000 ambayo huwakumba watu milioni 300 duniani, wengi wao wakiwa watoto chini ya…

Read More

Wastani wa watoa huduma za afya Zanzibar waongezeka

Unguja. Tathimini ya uwiano wa wagonjwa na wahudumu wa afya Zanzibar mwaka 2023/24 imeonesha kuwa kila daktari mmoja anatibu wagonjwa 3,904 ambapo kwa mwaka 2021/22 takwimu zilionesha kuwa kila daktari mmoja alitibu wagonjwa 4,445. Kwa upande wa wauguzi tathimini ya mwaka 2023/24 muuguzi mmoja alihudumia wagonjwa 1,089 ikilinganishwa na takwimu za mwaka 2021/22 zilizoonesha kuwa…

Read More

Nafuu kwa waishio mabondeni, maeneo yenye ardhi oevu

Dar es Salaam. Kama moja ya miji inayoongoza kwa ukuaji haraka barani Afrika, Dar es Salaam inakabiliana na changamoto kutokana na mabadiliko ya haraka ya miji na ya tabianchi. Miongoni mwa changamoto hizo ni athari za hali ya hewa yakiwamo mafuriko yanayoathiri maisha, miundombinu na shughuli za kiuchumi. Wataalamu wanabainisha kama ilivyo miji mingine ya…

Read More

Serikali yazindua Bodi ya kima cha chini cha mshahara

Dodoma. Serikali imeagiza bodi ya kima cha chini cha mshahara kuwasilisha mapendekezo ya viwango vya mishahara kwa kuzingatia hali halisi ya maisha na kuepusha migogoro makazini. Wito huo umetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene aliyesema mapendekezo hayo yanalenga kuwa na kiwango kitakachosaidia morali…

Read More