CCM Mbeya yabainisha mwarobaini migogoro ya jamii

Mbeya. Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kimesema licha ya ujio wa kampeni ya msaada wa kisheria, bila kubadili mienendo na tabia za wananchi, migogoro haitaisha, huku kikiwataja baadhi ya wanasheria na mawakili kujihusisha na vitendo vya rushwa. Akizungumza leo Februari 24, 2025 wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo mkoani humo, mwenyekiti wa chama…

Read More

Sekta binafsi inavyoongoza kwa mishahara midogo

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Utafiti wa Ajira na Mapato katika Sekta Rasmi Tanzania wa mwaka  2022/23, mtu mmoja kati ya wawili walio katika sekta hiyo wanalipwa mshahara wa chini ya Sh500,000. Ripoti iliyochapishwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) inaeleza kuwa, watu 1,996,555 kati ya 3,717,980 walio katika ajira wanalipwa kati ya…

Read More

Rais Karia ana kazi kubwa CAF

Zimebaki siku 17 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) huko nchini Morocco. Uchaguzi huo utafanyika Machi 12 ambapo nchi wanachama wa Caf watapata fursa ya kuchagua Rais wa Shirikisho hilo pamoja na wajumbe wa kamati ya utendaji. Kwenye Urais hapo hapana vita sana kwani Patrice Motsepe ndiye mgombea…

Read More

TIMU YA WASHAURI KUTOKA AfDB YAVUTIWA NA UKUAJI WA UCHUMI

Washauri Waandamizi wa Wakurugenzi Watendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) wameanza ziara ya siku tano nchini kwa ajili ya kuelewa vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania na namna AfDB inavyoweza kuchangia shughuli zenye matokeo chanya na kubadilisha maisha ya watanzania. Akizungumza kuhusu ziara hiyo, baada ya kukutana na ujuembe huo jijini Dodoma, Naibu Katibu…

Read More

Inapokanzwa Ulimwenguni Katika Mahali baridi zaidi Duniani – Maswala ya Ulimwenguni

Mfano wa multilateralism, Antarctica inafungwa na makubaliano ya Antarctic yenye mataifa 57 yaliyowekwa kwa amani na sayansi. Pia ni hifadhi kubwa ya maji safi kwenye sayari yetu. Antarctica haina mji mkuu kwa sababu ni bara, sio nchi. Mikopo: UNDP/Raja Venkatapathy Maoni na Raja Venkatapathy Mani (Antarctica) Jumatatu, Februari 24, 2025 Huduma ya waandishi wa habari…

Read More

EXIM BANK YAINGIA MKATABA WA MIAKA MITATU NA ZATI

  Benki ya Exim imeingia mkataba wa miaka mitatu na Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (ZATI) kwa lengo la kukuza na kuinua sekta ya utalii Zanzibar. Mkataba huo ulisainiwa na Mkuu wa Kitengo cha Fedha kutoka benki ya Exim, Shani Kinswaga pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (ZATI), Suleiman Ally,…

Read More