Wafanyabiashara waeleza changamoto mfumo wa stakabadhi ghalani

Bariadi. Wafanyabiashara wa mazao mchanganyiko katika Mkoa wa Simiyu wameeleza changamoto wanazokutana nazo kutumia Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani, huku Serikali ikisisitiza umuhimu wa mfumo huo. Hayo yamebainika leo Februari 24, 2025 mjini Bariadi mkoani Simiyu katika mkutano wa wafanyabiashara hao na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kighahe….

Read More

Rais Samia: Nimemrudisha Makamba kwa mama

Lushoto. Rais Samia Suluhu Hassan amesema ameamua kumrudisha kwake Mbunge wa Mumbuli, Januari Makamba baada ya kile alichodai alimpiga kikofi. Kauli ya Rais Samia inakuja miezi saba, tangu alipotengua uteuzi wa Makamba katika nafasi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Ingawa taarifa ya utenguzi wa Makamba ya Julai mwaka jana…

Read More

Afariki kwa kupigwa shoti akiiba nyaya kwenye transfoma

Shinyanga. Mkazi wa kata ya Kitangili iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Daniel Mussa Mageni (27) anadiwa kufariki dunia kwa kupigwa shoti ya umeme wakati akijaribu kuiba nyaya za umeme kwenye transfoma iliyopo kitongoji cha Isenegeja, Kijiji cha Isela wilayani Shinyanga. Tukio hilo limetokea leo Februari 24, 2025 baada ya shuhuda, John Shija kumkuta…

Read More

Serikali yatoa Sh209 milioni kuwezesha vijana kujiajiri

Unguja. Jumla ya Sh209 milioni zimetolewa kuviwezesha vikundi 18 vya vijana kwa lengo la kuendeleza shughuli za ujasiriamali na biashara, kupitia fedha zinazotolewa na Serikali za mitaa. Vikundi hivyo vyenye wanachama 134 vimepata fedha hizo kupitia asilimia 10, ambapo wanawake ni asilimia nne, vijana asilimia nne na watu wenye ulemavu asilimia mbili. Hayo yamebainishwa na…

Read More

Matano mambo magumu Fountain | Mwanaspoti

HALI ni mbaya kwa Kocha Mkuu wa Fountain Gate, Mkenya Roberto Matano baada ya kikosi hicho kuchapwa juzi bao 1-0, dhidi ya Dodoma Jiji, na kuifanya timu hiyo kufikisha jumla ya michezo minane ya Ligi Kuu bila ya kuonja ladha ya ushindi. Katika mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma, wenyeji walipata bao la…

Read More

AGIZO LA RAIS SAMIA LA KUFUNGUA VIWANDA VYA TEHAMA NCHINI LAFANIKIWA ARUSHA.

Na Pamela Mollel,Arusha Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan kuagiza Tume ya Tehama Nchini kawatafuta wawekezaji watakao fungua viwanda vya kutengeneza bidhaa mbalimbali za Tehama,agizo hilo limefanikiwa kwa kuwepo kwa kiwanda cha uzalishaji wa bidhaa za Tehama hapa Nchini Akizungumza jijini Arusha mara baada ya kutembelea kiwanda cha Tanztech…

Read More

Kisa Hamisa, Mzize amuonya Aziz KI

BAADA ya nyota wa kimataifa kutoka Burkina Faso, Stephane Aziz KI kufunga ndoa na Hamisa Mobetto wiki iliyopita na kufanya sherehe kubwa kwenye Ukumbi wa Super Dom, Masaki, jijini Dar es Salaam, kumekuwa na stori za pembeni kuhusu wawili hao. Hata hivyo, baada ya tukio hilo baadhi ya mastaa waliwapongeza wanandoa hao akiwamo nyota wa…

Read More