Lissu ataja masharti kina Mdee kurejea Chadema

Dar es Salaam. Wakati baadhi ya wabunge 19 wa viti maalumu waliofukuzwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiendelea na harakati za kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu amebainisha kile kinachopaswa kufanywa iwapo wanataka kurejea. Lissu amesema Halima Mdee na wenzake 18 ambao walivuliwa uanachama Novemba 27,…

Read More

Madereva wa malori wadai kuvamiwa DRC

Dar es Salaam. Madereva wa malori kutoka nchi nne wamedai kuvamiwa na watu waliovalia sare za kijeshi walipokuwa wakisubiri kuvuka mpaka kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Zambia, katika eneo la Kasumbalesa, Lubumbashi. Uvamizi huo umetokea usiku wa kuamkia jana Jumapili, Februari 23, 2025 takriban kilometa 10 kabla ya kufika mpakani, huku malori…

Read More

Simba V Azam FC… utamu upo kati

SIMBA imetamba leo itaendeleza Ubaya Ubwela pale ilipoishia wakati itakapokuwa wenyeji wa Dabi ya Mzizima dhidi ya Azam FC, huku Wanalambalamba wakijibu mapigo kwamba safari hii hawakubali unyonge mbele ya Mnyama. Mechi hii namba 167 ilipangwa kupigwa Uwanja wa KMC Complex, kuanzia saa 10:00 jioni, lakini juzi Bodi ya Ligi (TPLB) ilitoa taarifa ya kuuhamisha…

Read More

RAIS DKT SAMIA ATOA MAELEKEZO KWA WAZIRI MCHENGERWA

Na Oscar Assenga, HANDENI. RAIS Dkt Samia Suluhu amemuagiza Waziri wa Tamisemi Mohamed Mchengerwa kuhakikisha wanapeleka kiasi cha Milioni 240 kwa ajili ya kujenga eneo maalumu la Upasuaji wa Mifupa katika Hospitali ya Halmashauri ya wilaya ya Handeni. Dkt Samia aliyasema hayo leo mara baada ya kufungua Hospitali ya Halmashauri ya wilaya ya Handeni eneo…

Read More

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA VIWANDA VYA KUBANGUA KOROSHO MKOANI MTWARA

NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Dk. Hussein Mohamed leo tarehe 23 Februari 2025 ameafanya ziara Mkoani Mtwara iliyolenga kutembelea eneo linalotarajiwa kujengwa viwanda vya Kubangua Korosho. Uwekezaji huo ambao awamu ya kwanza inatarajiwa kugharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 300, unatekelezwa kwenye eneo la Maranje Halmashauri ya Mji Nanyamba Wilaya ya Mtwara Mkoani humo….

Read More

Watanzania wang’ara Kilimanjaro International Marathon

WANARIADHA wa Kitanzania wamenga’ra katika mbio za Kimataifa za Kilimanjaro mwaka huu wa 2025 ambapo Hamis Misai am3ishinda nafasi ya kwanza mbio za kilomita 42.2 kwa muda wa saa 2:20:45, katika mbio zilizofanyika katika uwanja wa chuo kikuu cha ushirika Moshi (MoCU), Moshi, mkoani Kilimanjaro. Nafasi ya pili imechukuliwa na Aloyce Simbu wa Tanzania aliekimibia…

Read More

TPHPA yapandisha ada cheti cha afya ya mazao

Arusha. Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imepandisha ada za vyeti vya afya ya mazao kwa zaidi ya asilimia 460, jambo linaloleta changamoto kubwa kwa sekta ya usafirishaji wa mazao ya kilimo nchini. Muundo wa ada uliorekebishwa, ambao umesababisha ongezeko la zaidi ya mara nne kwa baadhi ya makundi ya shehena, umeibua…

Read More