RAIS MWINYI AFUNGUA MSIKITI MPYA KIJIJI CHA MANGAPWANI,APEWA JINA LA MSIKITI WA MZEE ALI HASSAN MWINYI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuufungua Msikiti Mpya uliojenga na Zakaria na Familia yake katika Kijiji cha Zawiyani Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja na kupewa Jina la Msikiti wa Mzee Ali Hassan Mwinyi, ufunhuzi huo uliyofanyika leo 23-2-2025, baada ya kumalizika kwa Kisomo cha Hitma…

Read More

Doyo avipa ramani vyama vinavyohitaji muungano

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chama cha National League for Democracy (NLD) Doyo Hassan Doyo amesema kama vyama vitahitaji muungano ni lazima vipiganie kwanza mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa ili kama wataungana kila chama kipate haki yake baada ya uchaguzi. Doyo amesema hayo wakati akimkaribisha mwenyekiti wa NLD kufungua mkutano wa kamati…

Read More

BAKWATA YASHAURIWA KUANDAA MKAKATI KUPATA WALIMU WA MADRASA

NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA MKURUGENZI wa Kivulini,Yasin Ally, amesema ili vijana wa Kiislamu wapate maendeleo na kushindana kimataifa,ni muhimu BAKWATA na Jumuiya ya Kuendeleza Qu’ran na Sunna Tanzania (JUQUSUTA), kubadili mifumo ya elimu ya madrasa, ikiwemo kuingiza lugha ya Kiingereza katika ufundishaji wa Qur’an. Yasin amesema leo,katika Kongamano la Vijana wa Kiislamu mkoani Mwanza,lililoandaliwa na…

Read More

Msimamo vyama vya siasa uchaguzi mkuu Oktoba

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimeamua kusukuma ajenda ya kuundwa kwa jukwaa la pamoja la vyama vya siasa kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Chama hicho kinaeleza kumekuwepo na hila za kuwatia wananchi hofu, hivyo ni muhimu kwa vyama makini kushirikiana ili kupambana na changamoto hizo. Hata hivyo, hoja hiyo imepokewa kwa…

Read More

QYT YAENDELEA KUPANUA HUDUMA ZAKE JIJINI DAR ES SALAAM

 Kampuni ya QYT inayojihusisha na huduma za tiba mbadala pamoja na kutoa fursa Kwa vijana, imeendelea kupanua miradi yake Kwa kufunga tawi jipya katika kata ya mwananyamala wilaya ya kinondoni Jijini Dar es salaam. Ufunguzi wa kituo hicho umeambatana na semina za Afya Kwa wakazi wa eneo Hilo namna ya kujikinga na maradhi yasiyo ambukiza…

Read More

‘Stori za wanawake wa Tanzania zina thamani’

Dar es Salaam. Benki ya Absa Tanzania imesema itaendelea kuunga mkono juhudi mbalimbali zenye lengo la kuhakikisha wanawake wa Tanzania wanapiga hatua za kimaendeleo mahali pa kazi. Hayo yamesemwa Ijumaa ya Februari 21, 2025 na Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Obedi Laiser, jijini Dar es Salaam, wakati wa maadhimisho ya miaka kumi na mahafali ya…

Read More

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATOA SIKU SABA KWA TLP

Na Pamela Mollel,Arusha MSAJILI wa Vyama vya Siasa Nchini,ameupa muda wa siku Saba Uongozi wa Chama cha Tanzania Labour Part (TLP), kutoa ufafanuzi wa madai ya ukiukwaji wa Katiba ,Kanuni za Chama hicho kikongwe cha Siasa Nchini kufuatia malalamiko yaliyowasilishwa ofisini kwake na Wanachama wa Chama hicho Nchini. Katibu Mwenezi wa TLP,Taifa ,Jofrey Stivini,amewaambia wanahabari…

Read More