Andambwile aamua kikubwa, atangulia TFF

KIUNGO wa Singida Black Stars, Aziz Andambwile anayeitumika Yanga kwa mkopo ameshtukia jambo na fasta akaamua kufanya kitu ili kutaka kujiweka pazuri kabla mambo hayajamchachia zaidi. Andambwile mwenye mkataba wa miaka mitatu na Singida iliyopo nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 38 kutokana na mechi 21, bado hajaonyesha makeke…

Read More

Andambwile aamua liwalo na liwe, atangulia TFF

KIUNGO wa Singida Black Stars, Aziz Andambwile anayeitumika Yanga kwa mkopo ameshtukia jambo na fasta akaamua kufanya kitu ili kutaka kujiweka pazuri kabla mambo hayajamchachia zaidi. Andambwile mwenye mkataba wa miaka mitatu na Singida iliyopo nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 38 kutokana na mechi 21, bado hajaonyesha makeke…

Read More

Rais Samia ataja sababu ya ziara yake Tanga

Mkata. Rais Samia Suluhu Hassan amesema dhamira ya ziara yake Mkoa wa Tanga ni kuona namna Sh3.1 trilioni zilizotolewa na Serikali zilivyotumika kutekeleza miradi ya sekta mbalimbali za maendeleo. Amesema miongoni mwa miradi hiyo ni  ya miundombinu,  sekta ya afya,  elimu ambayo msingi wake ni kutoa huduma kwa wananchi na kukuza uchumi wa Taifa. Kiasi…

Read More

Haya ndio matarajio ya Serikali mashindano ya Qur’an

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema Serikali inatarajia kuona elimu ya Qur’an ikianza kutolewa mapema kwa watoto wadogo ili kuwapa misingi bora ya maadili. Amesema hayo leo Jumapili Februari 23, 2025, kwenye mashindano ya dunia ya kuhifadhi Qur’an yaliyofanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. “Mashindano haya yataendelea kuleta maendeleo…

Read More

Kiu ya wakazi wa Tanga, Rais Samia aanza ziara

Mkata. Rais Samia Suluhu Hassan ameanza ziara yake ya siku tisa Mkoa wa Tanga, ikiwa ni ya kwanza kuifanya tangu alipoapishwa kushika wadhifa huo. Mara ya mwisho Rais Samia alitembelea mkoani humo, Machi mwaka 2021 akiwa Makamu wa Rais na ndio iliyokuwa ziara yake ya mwisho nchini akiwa na wadhifa huo. Ziara ya Rais Samia…

Read More

Waziri Jr amtaja Simon Msuva dili la Iraq

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Dodoma Jiji aliyetambulishwa hivi karibuni na klabu ya Al Mina’a ya Iraq amesema Simon Msuva ana mchango mkubwa kutua katika timu hiyo. Wazir Jr aliyewahi kukipiga Yanga 2020/21, alisaini mkataba wa miezi sita na timu hiyo iliyopo nafasi ya 16 kwenye msimamo wa ligi hiyo yenye timu 20 akiwa pia ni…

Read More