Gabriel Geay ashinda Daegu Marathon

NYOTA wa kimataifa wa Riadha nchini, Gabriel Geay amefunika baada ya kuibuka mshindi wa kwanza wa mbio za Daegu Marathon 2025 zilizofanyika leo Jumapili huko Korea Kusini. Geay ambaye ni mshindi wa pili wa Boston Marathon 2023,  katika mbio hizo za leo alimshinda Shujaa wa Ethiopia aliyeng’ara Dubai Marathon 2024, Addisu Gobena kwa kutumia muda…

Read More

‘Mifumo ya maisha inachochea kukosa maadili’

Unguja. Imeelezwa kuwa mifumo ya maisha inachangia kuporomoka kwa maadili kwa vijana na kuleta uvunjifu wa amani. Akizungumza wakati wa utoaji wa vyeti kwa vijana waliohitimu mafunzo ya sayansi ya malezi ya nafsi na kuzindua programu ya tuishi kizamani Februari 23, 2025 Mkurugenzi Mkuu  Ofisi ya Mufti Mkuu Zanzibar, Sheikh Abbu Simba amesema kilio kikubwa…

Read More

Wananchi waitwa kujiandikisha daftari la kudumu la wapigakura

Unguja. Wakati awamu ya pili ya uandikishaji wa daftari la kudumu la wapigakura ikianza mikoa ya Unguja, Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imewataka wananchi wenye sifa kujiandikisha ili wapate uhalali wa kuwachagua viongozi wanaowataka. Akizungumza baada ya kutembelea vituo vya uandikishaji Wilaya ya Kaskazini A Mkoa wa Kaskazini Unguja leo Februari 23, 2025 Mwenyekiti wa…

Read More

Nyota San Jose Earthquakes aitamani Stars

KIUNGO mshambuliaji wa San Jose Earthquakes ya Ligi Kuu ya Marekani (MLS), Amahl Pellegrino mwenye uraia wa Norway na asili ya Tanzania, ameanza kujinadi akionyesha anatamani kuichezea timu ya Taifa Taifa Stars. Nyota huyo ambaye aliwahi kuitwa kwenye kikosi cha awali cha Stars na Kocha Adel Amrouche ingawa hakucheza mechi hata moja, ameoinyesha ana nia…

Read More

Rais TEC awataka Watanzania wamwombee Papa Francis

Dar es Salaam. Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Wolfgang Pisa amewataka Wakatoliki wamwombee Papa Francis. Askofu Pisa ambaye pia ni Askofu wa Jimbo la Lindi, ametoa wito huo jana Jumamosi Februari 22, 2025, akisema, “Kama mnavyofahamu Baba Mtakatifu wetu Fransisko alilazwa Gemelli Polyclinic, Roma tangu Februari 14, 2025 kwa shida ya afya….

Read More

Watanzania wapania mzunguko wa pili Uturuki

WATANZANIA wawili wanaokipiga Ligi Kuu ya Walemavu nchini Uturuki, Ramadhan Chomelo anayekipiga Konya Amputee na  Hebron Shedrack wa Sisli Yeditepe wamesema licha ya kuanza mzunguko wa kwanza vibaya, watahakikisha wa pili wanafanya vizuri. Nyota hao ndio pekee kutoka Tanzania wanaocheza soka la ulemavu kwa msimu wa tatu sasa tangu waliposajiliwa mwaka 2022. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Mayanga ashtukia jambo Mbeya City

KOCHA wa Mbeya City, Salum Mayanga amesema hadi sasa timu hiyo kutoka jijini Mbeya iko katika uelekeo mzuri kutokana na nafasi iliyopo na kuwataka nyota wa kikosi hicho kuongeza umakini zaidi katika maeneo ya ulinzi na ushambuliaji. Akizungumza na Mwanaspoti, Mayanga alisema safu ya ushambuliaji inaonyesha matumaini ingawa changamoto anayoendelea kukabiliana nayo ni kutengeneza balansi…

Read More