
Prof. Janabi – Wataalamu wa Tiba Lazima Waongeze Uelewa Kuhusu Magonjwa Adimu
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amewataka wataalamu wa tiba kuongeza uelewa wao kuhusu magonjwa adimu ili kuongeza uwezo wao wa kuwapima na kuwatibu wagonjwa kwa ufanisi zaidi. Wito huo ameutoa leo Februari 28, 2025 Jijini Dar es Salaam, wakati wa maadhimisho ya Siku ya…