COY ATUNUKIWA TUZO YA HESHIMA (TCA)

Mwanzilishi wa Jukwaa la Ucheshi (Cheka tu) Conrad Kennedy Coy amepewa Tuzo ya Heshima Katika Usiku wa Tuzo za Ucheshi (TCA) unaofanyika Ukumbi wa Superdom Masaki Jijini Dar es Salaam. Coy amekuwa akitoa Mchango wake Mkubwa na Kufanya Mapinduzi ya burudani ya Ucheshi Kipindi cha hivi Karibuni . Aidha Coy amekuwa akilea Wasanii wa Ucheshi…

Read More

Unajua sababu kutokea dimpozi shavuni, kiunoni?

Dar es Salaam. Dimpozi la kwenye shavu ni maarufu kwa kuleta tabasamu la kipekee na mvuto wa aina yake, dimpozi la kiunoni maarufu kama ‘dimples of venus’ ambazo wakati mwingine, huchukuliwa kama ishara ya uwiano sahihi kati ya umri na uzito wa mwili wa muhusika. Kwa mujibu wa utafiti wa American Journal of Physical Anthropology…

Read More

Zijue dalili zisizojulikana za mshtuko wa moyo

Dar es Salaam. Maumivu ya kifua na kupumua kwa shida ni dalili zinazojulikana za mshtuko wa moyo, lakini ni muhimu pia kuwa makini na dalili zisizojulikana kama mabadiliko ya rangi ya macho na miguu kuvimba, ameonya Daktari Bhavini Shah. Moja ya dalili za ajabu ni hali inayojulikana kama digital clubbing, ambayo ni unene na upanukaji…

Read More

VIFAA TIBA SAHIHI MANUSURA KWA MAGONJWA YA VIDONDA MGANDAMIZO NA UFUPISHO WA MISULI

TAASISI,Makampuni na Mashirika yanayowezesha Vifaa tiba Kwa Watu Wenye Ulemavu Wameshauriwa Kufanya Uchunguzi wa Vifaa tiba Sahihi vya Kuwapatia Walemavu ili Kuwanusuru na changamoto mbalimbali ikiwemo Magonjwa ya Vidonda mgandamizo. Akizungumza wakati wa Semina ya Vifaa tiba sahihi Kwa Walemavu iliyoandaliwa na Taasisi ya Kubuni na Kutengeneza Vifaa saidizi Kyaro Assesive Tech Mkurugenzi wa Taasisi…

Read More