Kama wewe unatumia iPhone hili linakuhusu

Dar es Salaam. Kama wewe ni mtumiaji wa iPhone na vifaa vingine vya kampuni ya Apple hili linakuhsu, unadhani serikali inapaswa kuwa na uwezo wa kufikia taarifa zako binafsi, au Apple inapaswa kuendelea kulinda faragha ya watumiaji? Mwishoni mwa wiki, Apple imeondoa zana yake ya juu zaidi ya ulinzi wa taarifa (Advanced Data Protection –…

Read More

Sh10 bilioni kujenga miundombinu ya kuhifadhia parachichi

Rungwe. Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya itatumia zaidi ya Sh10 bilioni kwa ajili mradi wa ujenzi wa miundombinu ya kisasa ya kukusanyia na kuhifadhi zao la parachichi. Mradi huo umeanza kutekelezwa katika Kijiji cha Nkuga kilichopo katika Kata ya Nkuga wilayani humo, sambamba na ujenzi wa viwanda vidogo vidogo vya kuongezea thamani zao…

Read More

Hizi hapa takwimu za udumavu wa kimo, akili kwa watoto

Dodoma.Tanzania imekuwa ni miongoni mwa nchi ambazo bado zinakabiliwa na changamoto ya udumavu wa kimo na akili kwa watoto. Changamoto hiyo imebainishwa kwenye ripoti ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania wa mwaka 2022, kwamba mtoto mmoja kati ya watatu wenye umri kati ya mwaka 0-5 wanakabiliwa na tatizo la udumavu wa…

Read More

Faida za mtoto wa kike kujiunga na skauti

Dar es Salaam. Shule za msingi na sekondari za jijini Dar es Salaam zimejitokeza kuadhimisha Siku ya Skauti wa Kike (Girls Guide) huku msisitizo ukitolewa kwa wazazi kuwahamasisha watoto wao kujiunga na kundi hilo. Yakiwa na lengo la kuwajenga watoto wa kike wenye umri mdogo katika kujitambua, kujiamini, na hata kujenga uzalendo katika nchi yao,…

Read More

Wazazi wakumbushwa kuwalinda watoto wao na msongo wa mawazo

Arusha. Wazazi na walezi nchini wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya hali ya msongo wa mawazo unaowakumba watoto wao ili kuwaepusha na magonjwa yasiyoambukiza na pia hatua za kujidhuru. Hayo yamejiri wakati matukio ya watoto kujinyonga yakizidi kushamiri nchini yakiwemo ya watatu wa Mkoa wa Arusha waliojinyonga kwa nyakati tofauti mwaka jana akiwemo Lukuman Hussein (9),…

Read More

Aliyekamatwa Ni Kishandu – Global Publishers

Jeshi la Polisi limetoa taarifa kwa umma kuhusu video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii inayoonesha mwanaume mmoja akikamatwa kwa nguvu. Taarifa ya polisi imeeleza kwamba aliyekamatwa ni Rajabu Hassan ambaye anatuhumiwa kwa matukio kadhaa ya uporaji wa kutumia pikipiki maarufu kama vishandu. Taarifa hiyo imeeleza kwamba mtuhumiwa alikuwa akitafutwa na polisi ambapo…

Read More

Rais Samia afichua mapenzi yake kwa kahawa

Dar es Salaam. “Kahawa ni kinywaji kinachotuliza akili”, hii ni ya matamshi ya kwanza aliyoyatoa Rais Samia Suluhu Hassana leo Februari 22, 2025 wakati akifungua mkutano wa tatu wa nchi zinazozalisha kahawa barani Afrika uliofanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam. Akiwa mwenye bashasha baada ya kunywa kikombe cha kahawa alicholetewa muda mfupi baada…

Read More