Kesi ya ACT: Msimamizi wa kituo amruka bosi wake mahakamani

Kigoma. Aliyekuwa msimamizi wa kituo cha kupigia kura katika Mtaa wa Busomero, Kata ya Kasimbu, Manispaa ya Kigoma Ujiji amesema msimamizi wa uchaguzi wa mtaa huo, ambaye alikuwa kiongozi wake, alichokisema mahakamani kuhusiana na fomu za matokeo ya uchaguzi alizomkabidhi siyo kweli. Msimamizi huyo wa kituo cha kupigia kura Busomero B, Zaki Tegera ameyasema hayo,…

Read More

APANDISHWA KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KUHUJUMU UCHUMI

Na Pamela Mollel,MOSHI MFANYABIASHARA wa Mjini Moshi,Novita Shirima(49) Mkazi wa Katanini ,amefikishwa mahakama ya hakimu Mkazi Moshi , akikabiliwa na mashtaka 6 ya uhujumu uchumi ikiwemo kuzalisha pombe kali bandia aina ya Kvant,Konyagi na Hightlife akitumia kemikali aina ya Ethonol kinyume cha sheria ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya. Mwingine aliyefikishwa katika mahakama…

Read More

Bidhaa zapanda, mfumuko wa bei ukibaki palepale

Dar/Mikoani. Kupanda na kushuka kwa bei za baadhi ya bidhaa za vyakula nchini kumetajwa kuchangiwa na kumalizika kwa msimu, athari za mvua na maandalizi ya mfungo wa Ramadhani. Ufuatiliaji uliofanywa na Mwananchi Februari 20, 2025 katika baadhi ya masoko ya mikoa ya Mbeya, Dodoma, Njombe na Dar es Salaam umebaini baadhi ya bidhaa zimepanda bei,…

Read More

DAWASA Kuwalipa Wenyeviti wa Mitaa kwa Kubaini Wahujumu wa Maji

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire ametangaza fursa lukuki kwa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa Wilaya ya Kigamboni zitakazotokana na ushirikiano bora uliitengenezwa baina yao na Mamlaka hiyo. Mhandisi Bwire amebainisha fursa hizo katika kikao kazi na wenyeviti hao kilicholenga kuboresha mahusiano…

Read More

PROF MBALAWA AITAKA ATCL KUTOA HUDUMA BORA NA WAKATI..

NA DENIS MLOWE, IRINGA WAZIRI wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amelitaka shirika la ndege nchini kuhakikisha safari za ndege za shirika hilo zinafanyika kwa ratiba inayoeleweka na kuondokana suala zima la kuchelewa na kutoa huduma kwa ubora makini kwa abiria wake. Prof. Mbarawa ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa safari za ndege la shirika hilo…

Read More

Polisi yasema aliyekamatwa kwa nguvu Kibaha alikaidi amri

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limesema video inayosambaa ikimuonesha dereva bodaboda akikamatwa kwa nguvu katika eneo la Maili Moja, Kibaha mkoani Pwani ni askari walikuwa wanamkamata mhalifu ambaye alikaidi. Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Februari 22, 2025 katika kurasa zao za mitandao ya kijamii zimesema kuwa kijana huyo anatuhumiwa kufanya uhalifu kwa kutumia pikipiki maarufu…

Read More