NCAA, kupeleka Wanawake 800 kutalii Ngorongoro, kuunga juhudi za Rais samia kutangaza utalii

Na Seif Mangwangi,Arusha ZAIDI ya wanawake 800 wanatarajia kutembelea Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), ikiwa ni katika kuelekea kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, ambapo Kitaifa itafanyika Jijini Arusha. Imeelezwa kuwa lengo la kutembelea hifadhi hiyo mbali ya kujionea vivutio vingi vilivyoko katika hifadhi hiyo pia ni kujionea…

Read More

Mfanyabiashara Mwarabu Salehe Almamry asomewa mashtaka ya uhujumu Uchumi,utakatishaji wa fedha

Na Seif Mangwangi,Arusha HATIMAYE Mwendesha mashtaka wa Serikali (DPP), ametoa idhini ya kesi inayomkabili mwekezaji wa vitalu vya uwindaji wa kitalii nchini, Salehe Salim Almamry pamoja na wakili Sheki Mfinanga kesi yao kuanza kusikilizwa katika mahakama kuu kitengo cha rushwa na uhujumu uchumi masjala ndogo Mahakama Kuu kanda ya Arusha. Kufuatia idhini hiyo, huku wakitakiwa…

Read More

WATER AID NA HABITAT FOR HUMANITY WAJENGA VYOO ARUSHA DC

Na Mwandishi wetu, Arusha Mashirika ya Water Aid na Habitat for Humanity Tanzania wamefanikiwa miradi ya ujenzi wa vyoo kwenye masoko ya Kata za Olmotonyi na Olturumet Mkoani Arusha. Watumiaji na wafanyabiashara 5,000 wa masoko hayo, waliokosa huduma ya vyoo kwa muda mrefu wameondokana na tatizo hilo baada ya vyoo bora kuzinduliwa. Mkurugenzi wa Taifa…

Read More

Rais Samia Afungua Mkutano wa Tatu wa Nchi zinazozalisha Kahawa Barani Afrika (The 3rd G25 Africa Coffee Summit) jijini Dar.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi pamoja na wageni mbalimbali walioshiriki Mkutano wa Tatu wa Nchi zinazozalisha Kahawa Barani Afrika (The 3rd G25 Africa Coffee Summit) katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Februari, 2025. Rais wa Jamhuri…

Read More

Ufahamu ugonjwa uliomlaza Papa Francis siku nane hospitalini

Roma. Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis (88) amelazwa hospitalini kwa wiki moja kutokana na kuugua ‘nimonia’ katika mapafu yote mawili, pamoja na maambukizi kwenye njia ya hewa, hali ambayo madaktari wanasema inaweza kutibiwa huku wakidokeza, magonjwa hayo ni hatari hasa kwa wazee. Papa Francis alilazwa Februari 14, 2025, katika Hospitali ya Gemelli mjini…

Read More

Mechi tatu zamstua Mkongomani Tabora United

KOCHA wa Tabora United, Mkongomani Anicet Kiazayidi amesema ana kazi kubwa ya kufanya katika michezo ya mzunguko huu wa pili, baada ya kutoka sare ya bao 1-1, ugenini juzi dhidi ya Tanzania Prisons na kufikisha dakika 270 bila ya ushindi. Kauli ya kocha huyo inajiri baada ya timu hiyo kufikisha sare ya tatu mfululizo tangu…

Read More

UWINDAJI WA KITALII KUIINGIZIA TANZANIA BIL.2.5

Na Happiness Shayo- Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajia kuingiza jumla ya Dola za Kimarekani 968,000 sawa na shilingi za kitanzania bilioni 2.5 kama ada ya vitalu vya uwindaji wa kitalii kwa mwaka bila mapato mengine. Hayo yamesemwa leo Februari 21,2025 na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt….

Read More

Kocha Azam atoa kauli nzito Mzizima Dabi

ZIKIWA zimesalia siku mbili ili kuchezwa Mzizima dabi, kocha wa Azam Rachid Taoussi ajitanua kifua mbele kwa Simba akisema kikosi chake hakina sababu za kufungwa na Wekundu wa Msimbazi. Azam ambayo iko nafasi ya tatu katika ligi, ikiwa imecheza mechi 20 ikivuna jumla ya alama 43, huku mchezo wa mwisho wakitoka na suluhu dhidi ya…

Read More

Migogoro 27 ya ardhi, familia yatatuliwa Mtama

Mtama. Migogoro 27 kati ya 32 ya ardhi iliyowasilishwa katika Kliniki ya Msaada wa Kisheria katika Halmashauri ya Mtama mkoani Lindi imetatuliwa, huku mitano ikipelekwa katika mamlaka husika. Hayo yamesemwa na Mratibu wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, Rockus Komba, akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mnolela, Februari 21, 2025. Komba amesema…

Read More