MATIVILA AMTAKA MKANDARASI ANAYEJENGA BARABARA ZA TACTIC MKOANI MOROGORO KUKAMILISHA KAZI NDANI YA MIEZI MITATU

Morogoro Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Miundombinu, Mhandisi Rogatus Mativila amemtaka Mkandarasi M/s Jiangxi GEO Engineering Group anayejenga barabara ya Kihonda – VETA yenye urefu wa Km 12.85 kwa kiwango cha lami Manispaa ya Morogoro mkoani Morogoro kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha ujenzi…

Read More

Championship bado vita ni nzito

BAADA ya jana kushuhudia michezo miwili ya Ligi ya Championship, kipute hicho kitaendelea tena leo kwa mingine mitatu kupigwa kwenye viwanja mbalimbali, ikiingia mzunguko wake wa 20, kwa lengo la kuzisaka pointi tatu muhimu kwa kila timu. Michezo yote mitatu leo itaanza saa 10:00 jioni na Kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha, Mbuni…

Read More

Kilichomkwamisha Morrison KenGold hiki hapa

WAKATI mashabiki wa KenGold wakisubiri kwa hamu kumuona uwanjani staa mpya wa timu hiyo, Bernard Morrison, nyota huyo bado ataendelea kuwa nje ya uwanja hadi taratibu za vibali vya kazi nchini vitakapokamilika. Morrison aliyewahi kutamba na timu za Yanga na Simba kwa misimu tofauti, alisajiliwa na KenGold dirisha dogo lililofungwa Januari 15 akiwa huru, ambapo…

Read More

Papa Francis Anaendelea Vizuri – Global Publishers

Last updated Feb 21, 2025 Vatican imesema hali ya kiafya ya kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis anayeendelea na matibabu hospitali, inaendelea vizuri. Msemaji wa Vatican, Matteo Bruni amenukuliwa akisema maendeleo ya jumla ya Papa Francis yanaendelea vizuri ambapo Alhamisi asubuhi alikuwa na uwezo wa kutembea mwenyewe akisindikizwa na wasaidizi wake. Juzi Jumatano,…

Read More

Kwa nini wazazi wawe kikwazo cha mtoto kuoa, kuolewa?

Dar es Salaam. Vuta picha umekwenda kumtambulisha mchumba unayetarajia kumuoa wazazi wakamkataa, wa pili pia, hali hiyo ikajirudia kwa wa tatu. Kuwakataa ni jambo moja, sababu wanazotoa kuhusu uamuzi huo ni jambo jingine. Wa kwanza, wamemkataa kwa sababu haendani nawe. Mchumba wa pili wamedai hastahili kuwa mke kwa kuwa ana historia ya kupata malezi ya…

Read More

Kwa nini wazazi wawe kikwazo cha mtoto kuoa, kuolewa

Dar es Salaam. Vuta picha umekwenda kumtambulisha mchumba unayetarajia kumuoa wazazi wakamkataa, wa pili pia, hali hiyo ikajirudia kwa wa tatu. Kuwakataa ni jambo moja, sababu wanazotoa kuhusu uamuzi huo ni jambo jingine. Wa kwanza, wamemkataa kwa sababu haendani nawe. Mchumba wa pili wamedai hastahili kuwa mke kwa kuwa ana historia ya kupata malezi ya…

Read More

Mbarawa aagiza Uwanja wa Ndege Shinyanga kukamilika Aprili

Shinyanga. Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amembana mkandarasi wa Uwanja wa Ndege wa Shinyanga kuhakikisha anakamilisha ujenzi wa uwanja huo ifikapo Aprili 2025, kama alivyoelekeza Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa. Februari 19, 2025, Waziri Mkuu alitua katika uwanja huo na kubaini kwamba haukuwa na taa, hivyo aliagiza kufikia Aprili 2025, mkandarasi ahakikishe ndege zinatua usiku…

Read More