Simba na siku nane za kibabe

SIMBA imebakiwa na dakika 180 za kibabe katika mbio za ubingwa msimu huu, huku kocha wa timu hiyo, Fadlu David akisisitiza anataka kwanza kumaliza mechi mbili zijazo kabla ya kujipanga kwe zilizosalia ili kuona wanatoboaje mbele ya Yanga. Simba iliyopo nafasi ya pili katika msimamo ikiwa na pointi 51 baada ya mechi 20 itaanza dakika…

Read More

WANACHAMA UWAMZ WACHANGIA BENKI YA DAMU

Na Khadija Kalili Michuzi TV Umoja wa Wajasiriamali zaidi ya 70 wa Mtaa wa Zigua na Mahiwa Kariakoo maeneo ya Msikiti wa Mtoro wamejitolea damu kwaajili ya maandalizi ya kuingilia mwezi mtukufu wa Ramadhani ikiwa ni mwezi 28 Shaban1446 AH kwa lengo la kuchangia Banki ya damu salama ya taifa. Yamesemwa hayo leo Februari 27…

Read More

Padri Mwang’amba afariki dunia | Mwananchi

Unguja. Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar, Anselmo Mwang’amba amefariki dunia Februari 27, 2025 kisiwani hapa. Taarifa iliyotolewa na Askofu Mkuu jimbo hilo, Agustino Shao imesema mipango ya mazishi inaendelea. “Roho ya padri Anselmo Mwanga’mba ipate rehema kwa Mungu ipumzike kwa amani,” imeeleza sehemu ya taarifa hiyo. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Februari 28,…

Read More

Padri aliyemwagiwa tindikali 2013 zanzibar afariki

Unguja. Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar, Anselmo Mwang’amba amefariki dunia Februari 27, 2025 kisiwani hapa. Taarifa iliyotolewa na Askofu Mkuu jimbo hilo, Agustino Shao imesema mipango ya mazishi inaendelea. “Roho ya padri Anselmo Mwanga’mba ipate rehema kwa Mungu ipumzike kwa amani,” imeeleza sehemu ya taarifa hiyo. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Februari 28,…

Read More

Ujumbe wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan

Dar/mikoani. Wakati mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan ukitarajiwa kuanza, waumini wa dini ya Kiislam wameaswa kutumia mfungo huo kutenda mema, kusaidia wenye uhitaji, kutii mamlaka na kuwaombea viongozi wa dini na Serikali kama sehemu ya ibada ya kumrejea Mungu. Pia, viongozi hao wa dini ya Kiislam wamewataka waumini wao kuliombea Taifa liendelee kuwa na…

Read More

Wenye ulemavu walalamika kubaguliwa huduma za jamii

Kibaha. Watu wenye ulemavu nchini wamesema ukosefu wa wataalamu wa lugha ya alama kwenye maeneo ya huduma za jamii huwafanya wapate huduma tofauti na walizokusudia. Hayo yameelezwa leo Februari 28, 2025, wakati wa mafunzo ya afya ya uzazi kwa wanachama wa Shirikisho la watu wenye Ulemavu (Shivyawata) Kibaha, Mkoa wa Pwani. Changamoto zingine zinazotajwa na…

Read More

Majeraha yamtibulia Camara Simba | Mwanaspoti

KIPA namba moja wa Simba, Moussa Camara ‘Spider’ kwa mara ya kwanza anatarajiwa atacheza mechi ya Ligi Kuu Bara kesho wakati timu hiyo ikiwa wageni wa Coastal Union, kutokana na kuwa majeruhi kama ilivyo kwa beki wa kati, Fondoh Che Malone. Camara ametumika katika mechi 20 zilizopita za timu hiyo katika Ligi Kuu akiisaidia kushika…

Read More

Simba yapewa JKT, Yanga kuivaa Fountain Gate

MABINGWA wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), Simba Queens imepangwa kuvaana na JKT Queens katika mechi ya nusu fainali ya michuano ya Samia Women Super Cup itakayochezwa jijini hapa, huku watani wao wa jadi, Yanga Princess ikipewa Fountain Gate Princess. Michuano hiyo inayofanyika kwa mara ya kwanza itapigwa kwa muda wa siku taty kuanzia  Machi…

Read More

Masahaba walivyopokea Mwezi wa Ramadhani-2

Toleo lililopita liliangazia namna Masahaba wa Mtume wa Allah walivyokuwa wakiupokea na kuukaribisha mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Nilionyesha namna walivyoupokea mwezi wa Ramadhani kwa furaha, kulipa saumu zao walizokuwa wakidaiwa huko nyuma, kuomba dua na kufanya maandalizi mbalimbali. Endelea… Kuzidisha usomaji wa Qur’ani Salama bin Kuhail alieleza kuwa mwezi wa Shaaban ni mwezi wa wasomaji…

Read More