Hii hapa ratiba ya umeme Dar na Pwani, angalia eneo lako

Dar es Salaam. Wakati Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limetangaza kuboresha miundombinu yake kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Zanzibar na Pwani limetoa ratiba ya jinsi litakavyotekeleza kazi hiyo.  Maboresho hayo yataanza Jumamosi Februari 22 hadi 28, 2025. Tanesco limejipanga kuboresha huduma ili kuhakikisha usambazaji wa umeme kwa wananchi unafanyika kwa ufanisi. Kutokana na hatua…

Read More

FISI MSUMBUFU AUAWA AKUTWA NA ALAMA YA JINA LA MTU PAJANI

NA MWANDISHI WETU, SIMIYU ASKARI wa Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania (TAWA) kwa kushirikiana na wenzao wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) na Jeshi la Polisi Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, wamemuua fisi katika Kijiji cha Kimali ambaye alikuwa akiwasumbua wakazi wa eneo hilo. Fisi huyo aliyeuawa anadaiwa kuwa na alama ya jina…

Read More

NaCoNGO wampongeza Rais Samia kuwatambua

Na Mwandishi wetu BARAZA la Taifa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NaCoNGO), limeipongeza Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kujenga misingi ya kusikiliza na kuitambua sekta hiyo katika michakato mbalimbali ya kitaifa. Pongezi hizo zimetolewa jijini Dar es salaam leo Februari 21,2025 katika Mkutano wa kikanuni wa robo…

Read More

WATAFITI WA MIMEA VAMIZI WATUA SERENGETI

Ziara ya kikazi ya watafiti wa mimea vamizi kutoka Jamhuri ya Cuba walioungana na wataalam wa ikolojia kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii katika Hifadhi ya Taifa Serengeti inatarajiwa kuwa neema kubwa kwa Wanyamapori kwenye Hifadhi hiyo, kwa kuongeza maeneo ya malisho kwa wanyama hao ambayo kwa sasa yameanza kuathiriwa na mimea vamizi. Akizungumza na…

Read More

Hii hapa ratiba ya umeme Dar, angalia eneo lako

Dar es Salaam. Wakati Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limetangaza kuboresha miundombinu yake kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Zanzibar na Pwani limetoa ratiba ya jinsi litakavyotekeleza kazi hiyo. Maboresho hayo yataanza Jumamosi Februari 22 hadi 28, 2025. Tanesco limejipanga kuboresha huduma ili kuhakikisha usambazaji wa umeme kwa wananchi unafanyika kwa ufanisi. Kutokana na hatua…

Read More

Angalia hapa ratiba ya umeme kwenye eneo lako 

Dar es Salaam. Wakati Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limetangaza kuboresha miundombinu yake kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Zanzibar na Pwani limetoa ratiba ya jinsi litakavyotekeleza kazi hiyo. Maboresho hayo yataanza Jumamosi Februari 22 hadi 28, 2025. file:///C:/Users/evitalis/Downloads/TANESCO%20RATIBA%20ILALA.pdf Tanesco limejipanga kuboresha huduma ili kuhakikisha usambazaji wa umeme kwa wananchi unafanyika kwa ufanisi. file:///C:/Users/evitalis/Downloads/TANESCO%20-%20RATIBA%20KINONDONI%20KUSINI.pdf Kutokana…

Read More

Heche aibua mapya mnyukano Chadema

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche amesema wenye kinyongo ndani ya chama hicho ni wachache ambao mirija yao imekatwa baada ya uongozi mpya kuingia madarakani. Hata hivyo, amesema chama hicho hakitavumilia mambo hayo, kwa kuwa lengo lake ni kurudi kuzungumza ajenda zinazowalenga wananchi. Kauli ya Heche, inakuja katikati ya nyakati ambazo,…

Read More