Hapi atupa kijembe wapinzani waache kulalama, visingizio

Babati. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Taifa, Ally Hapi amewataka viongozi wa vyama vya upinzani kutolalamika kwa watu na kutoa visingizio kuwa wanataka Katiba mpya na Tume mpya ya uchaguzi ili hali watu hawawezi kula hayo wanahitaji maendeleo. Hapi amewataka viongozi wa vyama vya upinzani kutoogopa kushiriki uchaguzi, akisisitiza kuwa kazi kubwa zilizotekelezwa na…

Read More

Maandalizi biashara saa 24 Kariakoo yashika kasi

Dar es Salaam. Wakati biashara eneo la Kariakoo, jijini hapa zikitarajiwa kuanza kufanyika kwa saa 24 baadaye mwezi huu, taasisi kadhaa za Serikali zinaendelea na maandalizi kuwezesha jambo hilo kutekelezwa bila usumbufu wowote. Miongoni mwa taasisi hizo ni Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Wakala wa Barabarara Vijijini na Mijini (Tarura) na Mamlaka ya Udhibuti Usafiri…

Read More

ACT- Wazalendo kujadili uchaguzi kwa siku mbili

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo, kinatarajiwa kukaa katika vikao vyake vya ngazi ya juu kutathmini kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa na mwelekeo katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Vikao hivyo ni Halmashauri Kuu itakayofanyika Februari 23, ikitanguliwa na Kamati Kuu itakayoketi Februari 22, mwaka huu katika Ukumbi wa Maalim Seif, Dar es Salaam….

Read More

Hatari ya wagonjwa wa kisukari kupata vidonda vya tumbo

Watu wenye kisukari ambao hawajaweza kuthibiti viwango vya sukari, wapo kwenye hatari kubwa ya kupata matatizo katika mfumo wa mmeng’enyo wa chakula, ikiwa ni pamoja na tumbo kujaa gesi na vidonda vya tumbo. Matatizo haya yanaweza kusababisha usumbufu mkubwa kwa wenye kisukari, hasa upande wa lishe sahihi na matibabu. Watu wenye kisukari mara nyingi hukumbwa…

Read More

Korti yamfutia dhamana anayeshtakiwa kwa kumiliki kobe

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemfutia dhamana na kumrudisha rumande, mshtakiwa Mwaluko Mgomole (41) baada ya kuruka dhamana. Mgomole ambaye ni mshtakiwa wa nane katika kesi ya kuongoza genge la uhalifu na kumiliki kobe 116, amefutiwa dhamana yake, baada ya kutoroka na kushindwa kuhudhuria kesi yake tangu Machi 2024. Uamuzi huo umetolewa…

Read More

Jinsi Wakulima wa Tanzanias, Wafugaji walilipa bei ya Mradi wa Benki ya Dunia – Maswala ya Ulimwenguni

Mradi wa regrow, uliolenga kuongeza ukubwa wa Hifadhi ya Kitaifa ya Ruaha, umewaacha wengi bila ardhi na matarajio. Mikopo: Kizito Makoye/IPS na Kizito Makoye (Mbarali, Tanzania) Ijumaa, Februari 21, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Mbarali, Tanzania, Feb 21 (IPS) – kitovu kilikuwa kimeanguka juu ya wilaya ya Mbarali, lakini haikuwa utulivu wa amani –…

Read More

Kocha Yanga amshangaa Aziz KI, afunguka jambo zito

Imekuwa ni mazoea watu wanaoana huwa na siku 7 za kukaa fungate kwa ajili ya kusherehekea kutimiza ibada hiyo ya ndoa, lakini kwa nyota wa Yanga, Stephane Aziz Ki ni kama suala hilo halipo kutokana na kuwa katika msafara wa wachezaji wa Yanga walioenda mjini Kigoma. Yanga inatarajiwa kushuka kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, kukabiliana…

Read More