UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM WAWAFURAHISHA WAKAZI WA MKONGOTEMA HALMASHAURI YA MADABA

 Wananchi wa Kata ya Mkongotema Halmashauri ya Madaba Mkoani Ruvuma, wameelezea furaha yao kuhusu utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM na mafanikio yaliyopatikana katika miaka minne ya utawala wa Mbunge wa Jimbo la Madaba Joseph Kizito Muhagama, Wananchi hao wamekiri kuwa miradi ya maendeleo inayotekelezwa imemaliza changamoto kubwa zilizokuwa zikiwakabili na sasa wanapata…

Read More

RAIS SAMIA ASIFU MAFANIKIO YA PROGRAMU YA MWANAMKE KIONGOZI

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepongeza mafanikio makubwa yaliyopatikana kupitia Programu ya Mwanamke Kiongozi (Female Future Program) katika kipindi cha miaka 10 tangu kuanzishwa kwake. Akizungumza katika hafla ya mahafali ya awamu ya 10 ya programu hiyo iliyoandaliwa na Chama cha waajiri Tanzania (ATE) na kufanyika katika ukumbi wa…

Read More

Uvuvi kupindukia kikwazo Zanzibar | Mwananchi

Zanzibar. Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar, imesema uvuvi kupindukia ni miongoni mwa changamoto za bahari visiwani humo. Imesema idadi ya wavuvi visiwani humo ni kubwa na wengi wao hufanya shughuli hiyo katika maeneo ya karibu ya bahari jambo linalosababisha athari za kimazingira baharini. Akizungumza katika jukwaa la kwanza la usimamizi  Bahari na…

Read More

Beki wa JKT aingia anga za Yanga

UNAIKUMBUKA ile mechi ya kwanza kwa kocha mpya wa Yanga, Hamdi Miloud alipovaana na JKT Tanzania na kulazimisha suluhu kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo? Katika mechi ile kuna mabeki wawili walichezea sifa kwa kuwazuia kabisa nyota wa Yanga, akiwamo Clement Mzize, Prince Dube na Stephane Aziz KI kuendeleza moto wa kugawa dozi kwa wapinzani….

Read More

Wataalamu, miundombinu hafifu kikwazo utoaji huduma za afya

Unguja. Miundombinu hafifu ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) katika sekta hiyo vimeelezwa kuchangia uzoroteshaji wa utoaji huduma licha ya kupiga hatua katika sekta ya afya, kukosekana kwa wataalamu wenye sifa. Changamoto hizo pia zinachangia kukosekana uwekaji wa kumbukumbu za taarifa za afya na kuifanya Serikali ikose takwimu za kuaminika wakati wa kufanya uamuzi…

Read More

Samia aonya wanawake elimu na cheo visivuruge familia

Dar es Salaam. Wanawake wametakiwa kutumia elimu au nafasi mbalimbali za uongozi wanazopata kuinufaisha jamii huku wakisisitizwa kuwa nafasi wanazopata zisiwe kigezo cha kuvuruga familia zao. Hayo yamebainishwa leo Februari 21, 2025 na Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa hafla ya kuadhimisha ya miaka 10 ya Programu ya Mwanamke Kiongozi inayoendeshwa na Chama cha Waajiri…

Read More

RC Chongolo aiwakia halmashauri kwa kutowalipa wazabuni

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo ameiagiza halmashauri ya mji wa Tunduma kuwalipa wazabuni madai yao, yanayodaiwa kufika Sh1.8 bilioni tangu mwaka 2019, hali inayosababisha malalamiko mengi. Akizungumza katika kikao cha Kamati ya Ushauri ya Maendeleo ya Mkoa (RCC) kwa ajili ya kupitisha bajeti ya mwaka wa fedha 2025/26, Chongolo ameonyesha masikitiko yake…

Read More