Msimamizi uchaguzi abadili gia angani uhalali wa mgombea ACT

Kigoma. Msimamizi msaidizi wa uchaguzi wa mtaa wa Livingstone, Kata ya Kasingirima, Manispaa ya Kigoma Ujiji, amebadili gia angani baada ya kukiri mahakamani kumtambua mwanachama wa ACT – Wazalendo, Luma Akilimali kuwa alikuwa mgombea katika uchaguzi huo. Akilimali amefungua shauri la uchaguzi Mahakama ya Wilaya ya Kigoma akipinga mchakato na uchaguzi wa mwenyekiti wa mtaa…

Read More

Sababu kunguru wa India kuangamizwa Zanzibar

Unguja. Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo imezindua mradi wa kuwaangamiza kunguru wa India ambao wanahusishwa na uharibifu wa mazao, wanyama wadogo na kuathiri uchumi wa wakulima na wafugaji. Mwaka 1880 Serikali ya Uingereza ilipeleka kunguru hao Zanzibar kwa lengo zuri la kusaidia kupunguza takataka na mizoga mitaani, lakini idadi yao imeongezeka kwa kasi…

Read More

MKATABA UJENZI WA MAABARA ZA SAYANSI OUT, WASAINIWA

Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), kimesaini mkataba na kampuni ya kandarasi ya Arm-Strong International Ltd ya jijini Mwanza kuanza ujenzi wa maabara tatu za sayansi katika kipindi cha miezi nane ikiwa ni muendelezo wa utekelezaji wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) katika chuo hiki. Akizungumza katika hafla ya utiaji…

Read More

Maeneo matatu ya kukuza uzalishaji kahawa Afrika

Dar es Salaam. Kuwekeza katika uongezaji wa thamani, kuongeza matumizi ya kahawa ndani ya Afrika na kuimarisha ushirikiano, ni mambo ambayo yametajwa kuwa njia zinazoweza kukuza sekta ya kahawa na kuwapa vijana fursa za ajira na maendeleo ndani ya Afrika. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Mkutano Mkuu wa Tatu wa mwaka wa nchi zinazolima kahawa…

Read More

KESI ZA ACT WAZALENDO: Msimamizi uchaguzi abadili gia angani uhalali wa mgombea ACT

Kigoma. Msimamizi msaidizi wa uchaguzi wa mtaa wa Livingstone, Kata ya Kasingirima, Manispaa ya Kigoma Ujiji, amebadili gia angani baada ya kukiri mahakamani kumtambua mwanachama wa ACT – Wazalendo, Luma Akilimali kuwa alikuwa mgombea katika uchaguzi huo. Akilimali amefungua shauri la uchaguzi Mahakama ya Wilaya ya Kigoma akipinga mchakato na uchaguzi wa mwenyekiti wa mtaa…

Read More

CCM kutafakari kuhusu viwanja vyake

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kinafikiria kuona iwapo kiendelee kuviendesha viwanja vyake vya soka au kitafutwe mwekezaji wa kuifanya kazi hiyo. CCM inakuja na kauli hiyo, wakati ambao kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wadau, wakihoji inawezekanaje Serikali igharimie matengenezo ya viwanja vinavyomilikiwa na chama hicho. Hayo yameelezwa leo, Ijumaa Februari 21, 2025 na Katibu wa…

Read More

NBS: Tanzania ina mfumuko mdogo wa bei EAC

Dar es Salaam. Taarifa rasmi zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) zinaonyesha kuwa mfumuko wa bei nchini umebakia kuwa asilimia 3.1 tangu Desemba 2024, kiwango ambacho ni chini ikilinganishwa na nchi jirani. Katika kipindi kama hicho Kenya ilishuhudia ongezeko la mfumuko wa bei kutoka asilimia 3.0 mwezi Desemba hadi asilimia 3.3 mwezi Januari….

Read More

Wadau Geita waingilia kati upungufu wa vyoo shuleni

Geita. Wanafunzi 1,156 wa Shule ya Msingi Ikulwa iliyopo katika Manispaa ya Geita wanatumia matundu manane ya vyoo, sawa na tundu moja kutumiwa na wanafunzi 163, jambo ambalo ni kinyume na mwongozo wa Sera ya Elimu unaoelekeza tundu moja kutumiwa na wasichana 20 au wavulana 25. Uhaba wa matundu ya vyoo husababisha foleni ndefu za…

Read More

CCM: Uteuzi wa Dk Nchimbi haulengi urais 2030

Dar es Salaam. Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amesema uamuzi wa chama hicho kumpitisha Katibu Mkuu wake, Dk Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea mwenza wa urais, haulengi kumtengenezea nafasi ya kugombea urais katika uchaguzi wa 2030. Msingi wa ufafanuzi wa Makalla ni mitazamo iliyoibuka baada ya Mkutano Mkuu Maalum…

Read More