
Msimamizi uchaguzi abadili gia angani uhalali wa mgombea ACT
Kigoma. Msimamizi msaidizi wa uchaguzi wa mtaa wa Livingstone, Kata ya Kasingirima, Manispaa ya Kigoma Ujiji, amebadili gia angani baada ya kukiri mahakamani kumtambua mwanachama wa ACT – Wazalendo, Luma Akilimali kuwa alikuwa mgombea katika uchaguzi huo. Akilimali amefungua shauri la uchaguzi Mahakama ya Wilaya ya Kigoma akipinga mchakato na uchaguzi wa mwenyekiti wa mtaa…