
Chalamila: Wanawake wamebeba maono ya Taifa
Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema uwezeshwaji wa wanawake katika nyanja mbalimbali, ikiwemo masuala ya uongozi, utasaidia kuongeza na kuimarisha nguvukazi ya nchi kwa kuwa wao ni wabeba maono ya Taifa. Chalamila anasema hatua hiyo ni muhimu kwani idadi yao (wanawake) ni kubwa kuliko wanaume na pia uwezo…