TUNAKATA MOROGORO YA UWEKEZAJI , RC MALIMA

FARIDA MANGUBE, MOROGORO Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe, Adam Kighoma Malima, amewataka watumishi wa umma pamoja na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kutengeneza mazingira bora na rafiki kwa wawekezaji, ili kuvutia uwekezaji utakaosaidia kukuza sekta mbalimbali za uchumi Mkoani Morogoro. Akizungumza katika mkutano wa wawekezaji Malima amesema kwamba uwepo wa wawekezaji katika sekta mbalimbali…

Read More

Waumini wa Kiislamu waibua mjadala adhabu ya fimbo madrasa

Dar/Mikoani. Viongozi na waumini wa dini ya Kiislamu, wameeleza wasiwasi wao kuhusu matumizi ya adhabu kali kwa watoto wanaosoma madrasa, wakisisitiza zinazotolewa lazima ziwe za mafunzo na za kumjenga mtoto kiroho na kimaadili, badala ya kumuumiza. Kauli hiyo imetokana na mahojiano yaliyofanywa na Mwananchi kutokana na malalamiko kwenye mitandao ya kijamii kuhusu adhabu za viboko…

Read More

WAZIRI MKUU MAJALIWA KUONGOZA SAMIA MARATHON MKOANI PWANI FEBRUARI 22, 2025″

    Mwamvua Mwinyi, Pwani Februari 20, 2025 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mbio za Samia Marathon zitakazofanyika Februari 22, 2025, katika viwanja vya Shule ya Mtongani, Mlandizi, Kibaha Vijijini, mkoani Pwani. Mbio hizi zinalenga kuhamasisha wananchi kuhusu umuhimu wa kujitokeza kupiga kura wakati wa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka…

Read More

MKWANJA NJE NJE LEO UEFA EUROPA LEAGUE

MKWANJA leo upo nje nje kama tu utaamua kutengeneza jamvi lako kupitia michezo mikali ya michuano ya Uefa Eropa league ambayo itakua inarindima katika viwanja mbalimbali barani ulaya usiku wa leo. Michuano ya Europa League imekua ikitoa mkwanja wa kutosha kila mara na leo ndio ile siku yenyewe ya kuhakikisha unajipigia maokoto ya kutosha, Kwani…

Read More

WAZIRI SILAA AZINDUA KAMPENI YA SITAPELIKI ARUSHA.

Na Pamela Mollel,Arusha Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mh.Jerry Silaa amezindua kampeni maalum ijulikanayo kama “SITAPELIKI”yenye lengo la kutoa elimu kwa wananchi namna ya kujikinga na utapeli katika mitandao Kampeni hiyo amezindua jijini Arusha katika kikao kazi cha serikali na wadau wa sekta ya mawasiliano na Teknolojia ya habari kuhusu utekelezaji wa mkakati…

Read More

Yanga yatiwa hasira Ligi Kuu

YANGA inapaa leo kwenda Kigoma ikiwafuata wanajeshi wa Mashujaa, lakini kocha wa timu hiyo, Hamdi Miloud amewajaza upepo washambuliaji Prince Dube na Clement Mzize akiwaambia waamue wao kwani kiatu cha ufungaji bora kipo kwenye miguu yao. Kwenye msimamo wa ufungaji kinara wa mabao ni Mzize amefunga 10 sawa na kiungo wa Simba Jean Charles Ahoua…

Read More