
Cheche aachia ngazi Cosmopolitan | Mwanaspoti
KLABU ya Cosmopolitan imeachana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Idd Nassor ‘Cheche’, baada ya makubaliano ya pande mbili, huku sababu ikiwa ni mwenendo usioridhisha wa kikosi hicho katika Ligi ya Championship. Kocha huyo wa zamani wa matajiri wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC, aliliambia Mwanaspoti ni kweli amefikia makubaliano hayo ya…