KLABU ya Cosmopolitan imeachana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Idd Nassor ‘Cheche’, baada ya makubaliano ya pande mbili, huku sababu ikiwa ni mwenendo
Month: February 2025

Dodoma. Watu takriban 100,000 kutoka katika vijiji 120 wamenufaika na mradi wa umeme uliogharimu Sh165 bilioni. Akizungumza katika ufungaji wa mradi wa umeme wa Makambako

Simba itawakosa wachezaji wake Moussa Camara na Che Malone Fondoh katika mchezo wake wa Ligi Kuu kesho Jumamosi, Februari 28, 2025 dhidi ya Coastal Union

Dar es Salaam. Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limeongeza muda wa siku saba kwa waombaji wa nafasi za ajira kupitia tangazo lililotolewa Februari 13, 2025

KIPA Jonathan Nahimana wa klabu ya Namungo ameonyesha umahili mkubwa wa kudaka mikwaju ya penalti baada ya juzi (Alhamis) usiku kudaka penalti ya Feisal Salum

Kahama. Wananchi zaidi ya 180,000 wa Halmashauri ya Ushetu wanaotumia maji ya visima na kwenye madimbwi wako mbioni kuondokana na adha hiyo, baada ya Serikali

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV MCHEZAJI wa ngumi za kulipa nchini Amiri Matumla ambaye ni mtoto wa Bondia Mstaafu; Rashidi Matumla amejitapa kumchapa mpinzani wake

COP16 Rais Susana Muhamad. Vyama vya bioanuwai ya UN vilipitisha maamuzi ya utekelezaji wa mfumo wa biolojia ya ulimwengu. Mikopo: IISD Earth Mazungumzo Bulletin/Mike Muzurakis.

Dar es Salaam. Wagonjwa wenye mahututi walio wodini, wako hatarini mara saba zaidi kupoteza maisha kwa kukosa huduma za msingi, utafiti umebaini. Imebainika kuwa asilimia

Dar es Salaam. Tatizo la nguvu za kiume limeendelea kusumbua vijana nchini. Wakati baadhi wakitajwa kutumia za asili ambazo hazitambuliwi na mamlaka, baadhi yao imegundulika