
Samia azindua tume za masuala ya Ngorongoro, uhamaji wa hiari
Dar es Salaam. Rais wa Samia Suluhu Hassan amezindua Tume ya Rais ya Kutathmini kuhusu masuala ya mgogoro wa ardhi katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro na Tume ya Rais ya Kutathmini Zoezi la Uhamaji wa Hiari wa wakazi wa eneo la hifadhi hiyo ikiwa ni siku 58 tangu kuteuliwa kwao. Tume hii inazinduliwa ikiwa…