Profesa Kaushik aonya unywaji soda asubuhi, usiku

Dar es Salaam. Kama una ratiba za kunywa soda kila siku, hasa aina ya cola upo kwenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa wa kisukari, Profesa Kaushik Ramaiya amesema. Amesema kwa kawaida binadamu anatakiwa kula vijiko vitano vya sukari kwa siku, ila baadhi ya vyakula vina sukari iliyozidi mfano soda yenye ujazo wa mil 350 ina…

Read More

Daraja la kwanza Dar ubora, vipaji vyafunika

USHINDANI na viwango bora kutoka kwa nyota wa Polisi na Stein Warriors katika robo zote nne, vimeifanya fainali ya kikapu, Ligi Daraja la Kwanza Dar es Salaam kuwa moja ya michezo iliyovutia zaidi katika michuano hiyo msimu huu. Zikiwa tayari zimeshapanda daraja na msimu ujao zitacheza michuano ya Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (DBL)…

Read More

Afya ya uzazi kwa vijana mtegoni USAID ikisitisha misaada

Dar es Salaam. Kama ulidhani kusitishwa kwa misaada ya maendeleo nje ya Marekani, kunawagusa wafanyakazi na walio mstari wa mbele pekee, umekosea. Kukosekana kwa misaada hiyo, kunawaamsha wadau wakisema itarajiwe ongezeko la maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi, magonjwa ya ngono, mimba za utotoni, vifo vitokanavyo na uzazi. Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa…

Read More

MAAFISA HABARI NCHINI WASHUHUDIA MAGEUZI MGODI WA KIWIRA

-Watembelea Kiwanda cha kuzalisha Mkaa wa Rafiki Briquettes -Mkaa wa Kiwira watajwa kuwa bora Mbeya Maafisa Habari kutoka Wizara, Taasisi, Halmashauri na Wakala mbalimbali za Serikali Februari 19, 2024 walitembelea Mgodi wa Kiwira, Wilaya ya Tukuyu Mkoani Mbeya kama sehemu ya mafunzo ya kutoa elimu kwa umma. Ziara hiyo ilikuwa sehemu ya juhudi za kuhamasisha…

Read More

Besigye kuendelea kushikiliwa mahabusu Mahakama ikiahirisha kesi

Kampala. Kiongozi wa upinzani anayeugua nchini Uganda, Dk Kizza Besigye, msaidizi wake Obeid Lutale na mmoja wa mawakili wao watasalia kizuizini hadi baadaye mwezi huu wakati Mahakama Kuu ya Kampala itakapotoa uamuzi wake katika kesi ya kutaka watuhumiwa hao wafikishwe mahakamani, iliyowasilishwa na mawakili wao. Baada ya kusikiliza mawasilisho, hakimu wa Mahakama Kuu, Douglas Karekona…

Read More