Utendaji wa Bolt Siku ya Wapendanao Ulizidi MatarajioTanzania

Upendo ulikuwa hewani, pamoja na idadi ya huduma za migahawa, chokoleti, vifaa vya mapambo, na waridi zilizouzwa siku inayotarajiwa sana na wapendanao.   Kama kampuni inayoongoza kwa usafiri wa kidijitali Tanzania, Bolt ilitarajia ongezeko kubwa la mahitaji ya safari kuelekea maeneo maarufu ya mapenzi ya Dar es Salaam kama vile Posta, Mlimani, na Masaki. Kwa kuwa…

Read More

M23 wanavyoacha vilio kwa wasafirishaji wa Tanzania

Mgogoro unaoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo umezidi kuleta hasara katika maeneo mbalimbali. Wasafirishaji nchini Tanzania wanadai kuwa asilimia 80 ya malori yaliyokwama katika taifa hilo la Afrika Mashariki mizigo yake imeibwa lakini pia vipuri vimenyofolewa. Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Malori Tanzania (Tatoa), Elias Lukumay, katika mahojiano na Mwananchi, anaeleza kuwa…

Read More

Fisi wasumbufu 16 wauliwa katika oparesheni maalumu Simiyu

Simiyu. Fisi 16 wameuliwa katika operesheni maalumu mkoani Simiyu iliyoanza Januari 25, 2025 ili kuhakikisha usalama wa wananchi katika maeneo ambayo wanyama hao walikuwa wanaleta madhara. Hayo yemesemwa jana Jumatano Februari 19, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Kenani Kihongosi akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya operesheni hiyo iliyofanywa na Mamlaka ya…

Read More

Baresi aukataa unyonge Bara | Mwanaspoti

MASHUJAA jana jioni ilikuwa uwanjani mjini Kigoma kuvaana na Pamba Jiji, huku timu hiyo ikiwa na rekodi ya kucheza dakika 720 bila ushindi, lakini kocha Mohamed Abdallah ‘Baresi’ ametamba kwamba hataki unyonge tena na amejipanga kuisapraizi Yanga wanaokutana nao Kigoma. Mashujaa inayocheza Ligi Kuu kwa msimu wa pili sasa baada ya kupanda msimu uliopita, imecheza…

Read More

Twiga Stars pigeni haoo | Mwanaspoti

TWIGA Stars inatarajiwa kushuka uwanjani jioni ya leo kuisaka tiketi ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 itakapovaana na Guinea ya Ikweta, ambapo kocha mkuu wa timu hiyo, Bakari Shime amesema kikosi hicho kimekamilika kwa asilimia 80. Fainali zijazo za WAFCON 2026 zitafanyika Morocco na leo Twiga itashuka kwenye Uwanja…

Read More

Simba yatoa wawili kikosi bora makundi Caf

Wakati mashabiki wa Simba wanachekelea ushindi wa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo, Wekundu hao wakishinda kwa mabao 3-0 kuna taarifa itakayochagiza zaidi matokeo hayo  ambayo Idara ya mashindano ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imeitoa usiku huu. CAF imetoa orodha ya wachezaji 11 bora, wanaounda kikosi cha timu moja, kutokana na mechi…

Read More

Umuhimu wa bima katika uchumi binafsi

Bima ni zana muhimu ya kifedha inayosaidia watu binafsi, familia na biashara kukabiliana na changamoto za kifedha zinazotokana na hatari zisizotarajiwa. Kwa kuchangia malipo ya kawaida, bima hutoa ulinzi wa kifedha unapokabiliwa na hali kama ajali, magonjwa, hasara za mali, au hata kifo. Hii ni kinga muhimu kwa maisha ya kila siku na kwa mipango…

Read More