Tanzania inaweza kujifunza haya kwa watoto wa Finland

Fikiria watoto wenye umri wa miaka 13 tayari wanafunzwa kuhusu masuala ya fedha, kuweka akiba, bajeti, au hata jinsi ya kuendesha biashara ndogo. Nchi ya Finland imebuni programu maalumu kwa vitendo, kwa Kifini Yrityskylä (Mji wa Biashara) kwa ajili ya kujifunza masuala ya kifedha kwa watoto mashuleni na imeleta matokeo mazuri. Programu ya Yrityskylä, inahusisha…

Read More

Namna mshahara wako unavyoweza kukujenga kifedha

Mshahara ni malipo ya kazi ya ajira ambayo mfanyakazi anatumikia. Mshahara si tu njia ya kupata riziki, bali ni msingi wa usalama wa kifedha na ukuaji wa uchumi wa mtu binafsi. Mshahara pia unatumika kama njia muhimu ya kupima uwezo wa mwajiri kwenye kutimiza wajibu wake na kuweza kupanga malengo yenye tija. Upatikanaji wa ajira…

Read More

Kwa timu hizi… Simba ijipange CAF, ugumu uko hapa

KIKOSI cha Simba jana jioni kilikuwa uwanjani kuvaana na Namungo katika mechi ya Ligi Kuu Bara, lakini leo masikio na macho itakaelekeza mjini Doha, Qatar kwa ajili ya kufuatilia droo ya mechi za robo fainali ya michuano ya CAF, huku ikiwa na kazi ya kujipanga kukabiliana na timu yoyote itakayopewa. Simba ilimaliza kinara wa Kundi…

Read More

NJIRO; WANANCHI SIO LAZIMA KUFANYA WIRING NYUMBA NZIMA MNAWEZA KUFANYA CHUMBA KIMOJA KWAAJILI YAKUPOKELEA UMEME

 NA BELINDA JOSEPH, SONGEA Wakazi wa Kata ya Subira Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma, wametakiwa kuunganisha nyaya za umeme angalau chumba kimoja kwenye Nyumba ili kuwawezesha kupata huduma hiyo mapema badala ya kusubiri REA watakapoukabidhi mradi huo kwa TANESCO jambo ambalo litasababisha gharama yakuunganisha umeme kupanda kutoka Ile ya mradi wa REA shilingi elfu 27….

Read More

TAMASHA LA KUMBUKUMBU YA VITA VYA MAJIMAJI KUFANYIKA RUVUMA, WANANCHI KUELIMISHWA KUHUSU HISTORIA NA UTAMADUNI

 NA BELINDA JOSEPH, RUVUMA. Tamasha la Kumbukizi ya Vita vya Majimaji linatarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 23 hadi 27 Februari 2025, na litahusisha shughuli mbalimbali za kiutamaduni na kihistoria zinazolenga kuenzi mashujaa waliopigana vita hivyo,  Tamasha hilo litafanyika mkoani Ruvuma, ambapo wananchi watapata fursa ya kujifunza kuhusu historia ya vita vya Majimaji na umuhimu wa utamaduni…

Read More

CCM Haitavumilia Wanaokiuka Kanuni – Global Publishers

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ameonya vikali wanachama wanaotafuta uteuzi wa udiwani, uwakilishi na ubunge kwa njia zisizo halali, akisisitiza kuwa chama hakitasita kuwaengua wale watakaokiuka Katiba, Kanuni na maadili ya CCM kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025. Akizungumza jijini Dodoma wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa makatibu wa…

Read More

Zelesky amjibu Trump madai ya kuichokoza Urusi

Kyiv. Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy leo Jumatano amejibu madai ya Donald Trump kwamba Ukraine ndiyo iliyosababisha uvamizi kamili wa Urusi wa 2022, akisema Rais wa Marekani alikwama katika upotoshaji wa habari kutoka Russia. Akizungumza kabla ya mazungumzo na mjumbe wa Trump kwa ajili ya Ukraine, siku moja baada ya Trump kusema kwamba Ukraine “haikupaswa…

Read More