Hofu yatanda M23 wakisonga mbele

Milio ya risasi ilisikika katika mji wa mpakani wa Uvira, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Jumatano, vyanzo vya ndani vilisema, huku mapigano yakizuka kati ya vikosi vya washirika katikati ya kusonga mbele kwa waasi wanaoungwa mkono na Rwanda. Wakazi na maofisa wameeleza hali ya uporaji, miili ikiwa mitaani na wanajeshi wa serikali…

Read More

Faida mbili malori kutumia matairi makubwa

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiwaita watu wenye ubunifu unaoweza kuongeza thamani katika sekta ya usafirishaji, imevitaka vyuo kufanya tafiti ili kujua faida za matumizi ya matairi makubwa (super single tire) katika malori. Agizo hilo limetolewa kufuatia kuwapo kwa taarifa matumizi ya tairi hizo yanasaidia katika kupunguza matumizi ya mafuta na kulinda barabara. Hayo yamesemwa…

Read More

Mvua ilivyofunga maduka Njombe | Mwananchi

Njombe. Ikiwa imepita siku moja, Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) kutangaza kuwepo kwa Mvua katika Mikoa 15 ukiwemo Mkoa wa Njombe, Hali hiyo imejitokeza kuanzia majira ya saa 8.00 mchana na kudumu kwa zaidi ya masaa mawili. Mvua hiyo ambayo iliambatana na upepo mkali na ngurumo za radi kiasi cha kufanya baadhi ya maduka…

Read More

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA, KATIBA NA SHERIA YAIPONGEZA TEA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA ELIMU ZANZIBAR

– Kamati yaridhishwa na utekelezaji wa miradi ya elimu Zanzibar -Miradi yenye thamani ya Shilingi Bilioni 2.8 imetekelezwa -Vijana 600 kutoka kaya maskini wamenufaika na Mafunzo ya Ujuzi Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imeipongeza Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwa utekelezaji mzuri wa majukumu yake, hususani miradi ya elimu inayotekelezwa…

Read More

Mashujaa yazinduka, Azam ikibanwa Arachuga

MASHUJAA ikiwa kwenye Uwanja wa nyumbani wa Lake Tanganyika, mjini Kigoma imejivua joho la unyonge baada ya kuzinduka na kupata ushindi wa mabao 2-0 mbele ya Pamba Jiji, huku Azam ikiwa ugenini ilibanwa na Wagosi wa Kaya katika mechi za Ligi Kuu zilizopigwa jioni hii. Mashujaa ilishuka uwanjani leo ikiwa na kumbukumbu mbaya ya kucheza…

Read More

‘No reforms, no elections’ yawaweka Chadema njiapanda

Dar es Salaam. Kampeni inayoratibiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya ‘No reforms, no elections’ ikimaanisha “Bila mabadiliko, hakuna uchaguzi”, imewaweka njiapanda baadhi ya viongozi na makada wa chama hicho. Wanaobaki njiapanda, ni makada ambao kwa namna moja au nyingine wana nia ya kugombea katika uchaguzi mkuu Oktoba 2025 kusaka udiwani, ubunge na…

Read More

Rekodi ya ugenini Prisons yamtesa Josiah

KOCHA wa Tanzania Prisons, Amani Josiah amesema ana kazi ya kufanya katika kikosi hicho ili kukifanya kilete ushindani msimu huu, huku akidai rekodi ya michezo ya ugenini inamtesa, jambo analotaka kulifanyia marekebisho haraka. Kauli ya Amani inajiri baada ya timu hiyo kuchapwa juzi mabao 3-2 dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Bara…

Read More

Profesa Mbarawa: Ufanisi Bandari ya Dar umewaziba midomo

Dar es Salaam. Waziri wa Uchukuzi wa Tanzania, Profesa Makame Mbarawa amesema utendaji wa Kampuni ya DP World katika Bandari ya Dar es Salaam umeleta mabadiliko makubwa hali iliyofanya kupungua kwa maneno yaliyokuwa yakisemwa awali. Oktoba 22, 2023, Serikali iliingia makubaliano na DP World kupitia mikataba mitatu iliyosainiwa kwa lengo la kuongeza ufanisi katika bandari…

Read More