
Dar, Pwani na Zanzibar kukosa umeme kwa siku sita
Dar es Salaam. Baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar es Salaam, Zanzibar na mkoa wa Pwani yanatarajiwa kukumbana na changamoto ya huduma ya umeme kwa siku sita mfululizo. Kufanya maboresho katika kituo cha kupokea, kupoza na kusambaza umeme cha Msongo wa Kilovoti 220 cha Ubungo kilichopo Jijini Dar es Salaam ni sababu ya kuathirika…