Dar, Pwani na Zanzibar kukosa umeme kwa siku sita

Dar es Salaam. Baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar es Salaam, Zanzibar na mkoa wa Pwani yanatarajiwa kukumbana na changamoto ya huduma ya umeme kwa siku sita mfululizo. Kufanya maboresho katika kituo cha kupokea, kupoza na kusambaza umeme cha Msongo wa Kilovoti 220 cha Ubungo kilichopo Jijini Dar es Salaam ni sababu ya kuathirika…

Read More

Rais Samia kugharimia ukarabati msikiti Milo

Pwani. Baada ya kusambaa kwa kipande cha video kinachoonyesha hali mbaya ya Msikiti wa Milo, mkoani Pwani, Rais Samia Suluhu Hassan ameelekeza ukarabatiwe haraka. Akizungumza baada ya kufika katika msikiti huo jana Jumanne, Februari 18, 2025,  Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Waleed Omar amesema tayari ameshazungumza na waumini wa msikiti huo kujua changamoto…

Read More

Jinsi kaburi la aliyenyofolewa sehemu za siri lilivyofukuliwa

Geita. Upande wa mashtaka katika kesi inayowakabili washtakiwa wanne wanaodaiwa kumuua Joyce Ludeheka kwa kumkata na kitu chenye ncha kali kisha kukata sehemu yake ya siri na kuikausha, umeieleza mahakama namna kaburi lilivyofukuliwa na kuchukua sampuli kwa ajili ya vipimo vya vinasaba. Kesi hiyo iliyopo Mahakama Kuu, Masjala ndogo ya Geita, mashahidi wanne wametoa ushahidi…

Read More

Ma-DC watwishwa mzigo utatuzi wa migogoro familia, ardhi

Ruangwa. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wakuu wa wilaya kuhakikisha wanasimamia utatuzi wa migogoro ya wosia, ardhi na ile ya kifamilia kwenye maeneo yao. Waziri Mkuu Majaliwa ameyasema hayo kwenye uzinduzi wa kampeni ya kitaifa ya msaada wa kisheria ya Mama Samia leo Februari 19 2025 katika uwanja wa Madini wilayani Ruangwa Mkoa wa Lindi….

Read More

POLISI FAMILI DAY CUP YAZINDULIWA RASMI MKOANI SONGWE

Wananchi Mkoa wa Songwe wametakiwa kuhakikisha wanashiriki katika michezo mbalimbali ili waepukane na vitendo vya uhalifu ambavyo vinaweza kuleta madhara kwa jamii. Hayo yalisemwa Februari 19, 2025 na Afisa Mnadhimu wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Akama Shaaban wakati akifungua Mashindano ya Polisi Famili Day Cup ambayo yanafanyika katika Viwanja vya…

Read More