Okoa kifo cha mapema kwa kutembea hatua 2000 kwa siku

Utafiti uliowahi kuchapishwa na Jarida la Internal Medicine,  uligundua uwezekano wa kupunguza hatari ya kifo cha mapema kwa kila hatua 2,000 unazotembea kwa siku. Ulibaini  kutembea hatua 10,000 kwa siku kunapunguza hatari ya kupata ugonjwa wa moyo na mishipa ya damu, aina 13 za saratani na kiharusi. Kutembea kunaweza kufanyika katika maeneo ambayo ni rafiki na…

Read More

Rungu la wajumbe CCM latesa vigogo

Dar es Salaam. Mabadiliko ya katiba ya Chama cha Mapinduzi yameanza kuwavuruga wagombea wa udiwani, ubunge na uwakilishi, ikiwa imebaki takribani miezi mitano kufanyika kwa kura za maoni. Januari 18-19, 2025, Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma, pamoja na mambo mengine ulifanya mabadiliko ya katiba ya chama hicho na kuongeza makundi ya wanachama watakoshiriki kuwapigia kura…

Read More

Kula matunda haya kuboresha afya ya ubongo wako

Dar es Salaam.Kumbukumbu ni kipengele muhimu cha afya ya akili kinachohusiana na uwezo wetu wa kujifunza, kutunza kumbukumbu na kufanya uamuzi wa kila siku. Hata hivyo, inaelezwa kuwa uwezo huo hupungua kadri umri  wa mtu unavyozidi kuwa mkubwa.  Hata  hivyo,  aina mbalimbali za utafiti wa kisayansi zimeonyesha kuwa baadhi ya matunda yana faida kubwa katika…

Read More

Pamoja na changamoto, UNRWA inasema 'maendeleo yasiyolingana' yaliyofanywa wakati wa kusitisha mapigano – maswala ya ulimwengu

Timu za wakala zimefanya kazi karibu na saa hiyo kutoa huduma kwa watu ambao wamezidiwa kufuatia miezi 15 ya kupigwa risasi mara kwa mara, kuhamishwa, na ukosefu wa vifaa muhimu, shirika hilo lilisema katika taarifa kwa waandishi wa habari. “Hii inaonyesha UnrwaKujitolea kwa kusaidia familia huko Gaza kupitia shida hii ya kibinadamu isiyo ya kawaida“Alisema…

Read More

Siri iliyojificha kwenye mazoezi ya kuogelea

Wakazi wengi wa mwambao wa Pwani aghalabu si wageni wa kuogelea. Wakubwa kwa wadogo huwa ni wajuzi wa kuogelea, ikizingatiwa kuwa maeneo yao yamebahatika kupakana na Bahari Hindi. Utawapata wakazi hapa wakitenga muda wao kila siku au wiki kufika baharini na kujivinjari kwa kuogelea. Wale wanaoishi bara pia hutenga nafasi katika likizo zao kuzuru Pwani…

Read More

Ujumbe wa mwezi Mutukufu wa Ramadhan

Dar/mikoani. Wakati mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan ukitarajiwa kuanza, waumini wa dini ya Kiislam wameaswa kutumia mfungo huo kutenda mema, kusaidia wenye uhitaji, kutii mamlaka na kuwaombea viongozi wa dini na Serikali kama sehemu ya ibada ya kumrejea Mungu. Pia, viongozi hao wa dini ya Kiislam wamewataka waumini wao kuliombea Taifa liendelee kuwa na…

Read More

Miloud hataki kilichoikuta Simba | Mwanaspoti

Katika kuhakikisha kikosi chake kinaendelea kukaa kileleni kwa msimamo wa Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Yanga, Hamdi Miloud amesema wamekuja Mwanza kwa ajili ya kushinda na kupata alama tatu na sio matokeo mengine yoyote ambayo yatawapunguza kasi. Yanga ambao ni vinara wa Ligi Kuu ikiwa na alama 55 katika mechi 21 ipo jijini Mwanza…

Read More

Minziro: Hatuhitaji kuchoma sindano kucheza mechi ngumu

KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Fred Felix ‘Minziro’ amesema kutokana na upana wa kikosi chake na ubora wa kila mchezaji baada ya usajili wa dirisha dogo hawahitaji kuwachoma sindano baadhi ya wachezaji kuwalazimisha wacheze hata pale wanapokuwa na uchovu ama majeraha. Miinziro ametoa kauli hiyo akizungumzia maandalizi ya timu ya Pamba kabla ya kukabiliana na…

Read More