
Kauli ya Sheikh Ponda kwenye maziko ya Sheikh Muwinge
Morogoro. Waumini wa dini ya kiislamu na wananchi kwa ujumla wametakiwa kuishi wakiwa na jukumu la kuhakikisha wanaacha alama njema duniani kwa kuwa, maisha ya mwanadamu ni safari fupi. Wito huo umetolewa leo Jumatano, Februari 19, 2025 na Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu, Sheikh Issa Ponda wakati akizungumza kabla ya mazishi ya mwanazuoni mkongwe…