Nguvu ya Coastal, Azam ipo hapa

KITAUMANA katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini hapa wakati mastaa wa Coatal Union na Azam watakapovuja jasho kwenye msako wa pointi tatu ndani ya dakika 90. Mchezo huo wa Ligi Kuu Bara ambao utapigwa kesho utakuwa wa 20 kwa timu hizo msimu huu, kila moja ikihitaji ushindi ili kujitengenezea mazingira mazuri kwenye msimamo. Azam…

Read More

Dk Diallo: Nunueni pembejeo mapema baada ya kuuza mazao

Geita. Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Dk Anthony Diallo, amewataka wakulima wa pamba kununua mbolea pindi wanapouza mazao yao ili kuwawezesha kuzitumia wakati msimu wa kilimo unapowadia. Amesema ni vyema wakulima kuhifadhi pembejeo badala ya fedha, kwani mahitaji ya kila siku ni mengi, na mara nyingi wakulima huishia kutumia…

Read More

Korti yaruhusu wanandoa kufanya mazungumzo na DPP

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeruhusu wanandoa wanaokabiliwa na kesi ya kusafirisha gramu 41.49 za dawa za kulevya aina ya heroini kufanya majadiliano na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) ili kuimaliza kesi yao. Wanandoa hao ni Shabani Adamu na mkewe Husna Issa, pamoja na mtoto wao, Mussa Shabani, wote wakazi wa Manzese….

Read More