Mauaji harusini yamtupa jela miaka 12

Moshi. Mahakama Kuu kanda ya Moshi, imemhukumu kutumikia kifungo cha miaka 12 jela, mkazi wa Masama Nguni Wilaya ya Hai, Vicent Timoth (25), kwa kosa la kumuua mmoja wa wageni waliohudhuria harusi ya mdogo wake. Awali, Timoth alishitakiwa kwa kosa la mauaji ya kukusudia chini ya kifungu 196 na 197 cha kanuni ya adhabu, lakini…

Read More

Mwanazuoni mkongwe wa Kiislamu Sheikh Muwinge afariki dunia

Morogoro. Mwanazuoni mkongwe na mwalimu wa dini ya Kiislamu Mkoa wa Morogoro, Sheikh Ayubu Muwinge amefariki dunia Jumanne, Februari 18, 2025 katika Hospitali ya Rufaa mkoani humo alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa moyo uliokuwa ukimsumbua kwa muda mrefu. Mwili wa Sheikh Muwinge utazikwa leo Jumatano, Februari 19, 2025 katika makaburi ya Kola yaliyopo…

Read More

Trafiki Wabambwa Wakila Mlungula

Maofisa watatu wa polisi wa usalama barabarani jijini Nairobi, Kenya wamekamatwa na kitengo maalum cha kuzuia rushwa wakipokea rushwa kutoka kwa madereva. Bila kujua kwamba wapo mtegoni katika eneo la mzunguko wa Gloves Cinema, polisi hao walionekana wakisimamisha magari kisha kupewa kitu kidogo na madereva. Polisi hao walinaswa kwenye purukushani ya ukamataji ambapo kila polisi…

Read More

Chakula sio chache, lakini watu wengi hawawezi kuipata – maswala ya ulimwengu

Maoni na Jennifer Clapp (Waterloo, Ontario, Canada) Jumanne, Februari 18, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Waterloo, Ontario, Canada, Februari 18 (IPS) – Historia imetuonyesha tena na tena kwamba, kwa muda mrefu ikiwa usawa hautasimamiwa, hakuna kiwango cha teknolojia kinachoweza kuhakikisha kuwa watu wanalishwa vizuri. Leo, ulimwengu hutoa chakula zaidi kwa kila mtu kuliko Milele…

Read More

CCM inavyopenya Pemba, ngome ya upinzani Zanzibar

Kwa muda mrefu Kisiwa cha Pemba kimekuwa ngome ya upinzani, tangu uchaguzi wa kwanza baada ya mfumo wa vyama vingi kurejeshwa mwaka 1995, kisiwa hicho kilikuwa ngome ya Chama cha Wananchi (CUF). Hata baada ya waliokuwa makada wa CUF na kuhamia ACT Wazalendo, bado kisiwa hicho kimeendelea kuwa kambi ya upinzani tu. Hata hivyo, miaka…

Read More

WANANCHI WA KIJIJI CHA MTYANGIMBOLE WASHUKURU SERIKALI KWA KUJENGA SHULE YA SEKONDARI

 NA BELINDA JOSEPH, RUVUMA. Wananchi wa Kijiji cha Mtyangimbole kata ya Mtyangimbole Halmashauri ya Madaba, wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kupitia Mbunge wa Jimbo la Madaba Mhe Joseph Kizito Mhagama,  kwa kujenga shule ya sekondari katika eneo hilo ambayo imeondoa adha kubwa iliyokuwa ikiwakumba wanafunzi kulazimika kutembea umbali mrefu wa zaidi ya kilomita nne kufuata…

Read More

CUF kutafakari wazo la ACT muungano wa vyama

Dar es Salaam. Chama cha Wananchi (CUF) kimesema hatima ya mpango wa kuunda muungano mseto wa kushirikiana na vyama vingine vya upinzani kukikabili Chama cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu 2025, itajulikana baada ya chama hicho kupima faida na hasara. Chama hicho kimedai ingawa hadi sasa bado hakijafuatwa rasmi, suala hilo wamelisikia likizungumzwa na linahitaji…

Read More

Mbaroni akidaiwa kuua mke, mtoto wake wa miaka miwili

Kisarawe. Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Tanganyika Masele, mkulima ambaye ni mkazi wa Kiisangile, Kata ya Marui, Wilaya ya Kisarawe mkoani humo kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya mkewe na mtoto wake mchanga. Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, Salim Morcase aliyoitoa jana Jumanne Februari…

Read More