Tanzania yapewa tuzo ya usalama barabarani

Dar es Salaam. Wakala ya Barabara Tanzania (Tanroads) umepokea tuzo ya kimataifa kutokana na mchango wake wa kuboresha usalama wa barabara (safer road). Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega na Mtendaji Mkuu wa Tanroads, Mohamed Besta kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana Februari 17, 2025 wamepokea tuzo ya heshima katika mashindano…

Read More

Lindi yaeleza inavyopambana na migogoro ya ardhi

Ruangwa. Wakati kero ya migogoro ya ardhi ikiendelea kusumbua maeneo mbalimbali nchini, Mkoa wa Lindi umeeleza namna unavyopambana nayo. Hayo yamesemwa leo Jumanne Februari 18, 2025 na Kaimu Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Lindi, Raimon Chobi katika kikao cha mafunzo ya wataalamu watakaoshiriki katika utoaji huduma ya msaada wa kisheria wa kampeni ya Mama Samia…

Read More

Aweso awataka Dawasa wasizoee matatizo ya wananchi

Dar es Salaam. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amewataka watumishi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) kutokubali kuzoea matatizo ya wananchi bali wayashughulikie kwa kasi kubwa. Ameyasema hayo leo Jumanne, Februari 18, 2025 katika kikao kazi kati ya Dawasa na wenyeviti wa serikali za mitaa wilaya ya Kinondoni akisema…

Read More

UN yathibitisha mauaji ya watoto Bukavu DRC

Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa, imethibitisha mauaji ya watoto wiki iliyopita katika Mji wa Bukavu, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Taarifa iliyochapishwa leo Jumanne Februari 18, 2025 mtandao wa RFI imeeleza kuwa Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu, Volker Türk amethibitisha mauaji ya watoto…

Read More

Hakimu agoma kujitoa kesi za uchaguzi anazozisikiliza

Kigoma. Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Kigoma, Ana Kahungu ametupilia mbali pingamizi na hoja za mawakili wa Serikali kuhusu uhalali wa kuendelea kusikiliza mashauri mawili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024. Akizungumza leo Jumanne Februari 18, 2025 kuhusu mawakili hao kutaka ajitoe katika shauri hilo, hakimu Kahungu…

Read More

Mikoa 15 kupata mvua kuanzia saa 3 usiku wa leo

Dar es Salaam. Baadhi ya maeneo ya mikoa 15 inatarajiwa kupata mvua kwa saa 24 zijazo kuanzia saa tatu usiku, kwa mujibu wa Mamlala ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA). Mikoa hiyo ni pamoja na Kagera, Geita, Kigoma, Tabora, Katavi, Morogoro, Rukwa, Ruvuma, Iringa, Songwe, Njombe, Lindi, Mtwara, Rukwa na Mbeya. Kwa mujibu wa taarifa…

Read More