Mikoa 15 kupata mvua kuanzia saa 3 usiku huu

Dar es Salaam. Baadhi ya maeneo ya mikoa 15 inatarajiwa kupata mvua kwa saa 24 zijazo kuanzia saa tatu usiku, kwa mujibu wa Mamlala ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA). Mikoa hiyo ni pamoja na Kagera, Geita, Kigoma, Tabora, Katavi, Morogoro, Rukwa, Ruvuma, Iringa, Songwe, Njombe, Lindi, Mtwara, Rukwa na Mbeya. Kwa mujibu wa taarifa…

Read More

MAAFISA USHIRIKA KANDA YA KASKAZINI WAPATIWA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA

Mkuu wa Mkoa ya Manyara, Mhe.Queen Sendiga,akizungumza leo Februari 18,2025 wakati akifungua Mafunzo ya Usimamizi wa Vyama vya Ushirika kwa Maafisa Ushirika wa Kanda ya Kaskazini mjini Babati – Manyara ambayo yataendelea mpaka tarehe 28/02/2025 ambayo yamejumuisha Maafisa Ushirika 116. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayesimamia Ushirika na Umwagiliaji, Dkt. Stephen Nindi,akizungumza wakati…

Read More

Pacha waliotenganishwa waruhusiwa kuondoka Muhimbili

Dar es Salaam. Pacha waliotenganishwa nchini Saudi Arabia, Hussein na Hassan Amir (3), wameruhusiwa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), wakitarajiwa kurejea Igunga, mkoani Tabora kesho, Februari 19, 2025, baada ya kupata eneo la kuishi. Watakwenda kuishi kwenye nyumba iliyotafutwa na ofisi ya mkuu wa mkoa wa Tabora, wakati wakisubiri nyumba inayojengwa kukamilika. Akizungumza na…

Read More

JKT Tanzania yapata ushindi, KenGold yatakata

Ushindi wa mabao 2-0 ambao wameupata JKT Tanzania, katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC umewafanya Maafande hao kupanda nafasi sita kwenye msimamo wa ligi hiyo, huku KenGold ikiendeleza moto. Awali JKT ambao hawakuonja ushindi katika michezo minane iliyopita sawa na dakika 720, walikuwa nafasi ya 12 kwenye msimamo wa ligi hiyo wakiwa…

Read More

Maseke aingia anga za wazee wa kujiweka

KIPA Wilbol Maseke ameingia katika orodha ya wachezaji waliojifunga Ligi Kuu Bara hadi sasa baada ya jioni ya leo kujikwamisha wavuni wakati akitaka kuokoa mpira wa kichwa uliopigwa na kiungo Hassan Nassor Maulid ‘Machezo’ wakati wakilala mabao 2-0 mbele ya JKT Tanzania. Katika pambano hilo lililopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, jijini Dar es Salaam,…

Read More

GLOBAL PEACE FOUNDATION WAZINDUA MRADI WA JAMII SHIRIKISHI KATIKA UZALENDO KANDA YA KUSINI.

Shirika la Kimataifa lisilo la Kiserikali linalofanya kazi ya kuhamasisha amani,umoja na maendeleo endelevu kupitia miradi mbalimbali (Global PeaceFoundation )limezindua mradi wa jamii shirikishi katika uzalendo kwa kanda ya kusini. Mradi huo uliopo chini ya udhamini wa ubalozi wa Netherlands umezinduliwa leo Februari 18,2025 Mkoani Lindi ambapo utatekelezwa kwa kipindi cha mwaka mmoja ukijikita kuboresha…

Read More

Ali Kamwe afichua siri yake na Mobetto

NDOA ya mastaa wawili, wa soka Stephane Aziz KI na mfanyabiashara na mjasiriamali, Hamisa Mobetto bado imebaki vichwani mwa watu, wengi wakiendelea kuwapongeza kutokana na kufanikisha jambo hilo muhimu katika maisha yao. Ndoa hiyo pia imeacha mjadala kutokana na ustaa wa wawili hao na wamewahi kuhusishwa kimapenzi na mastaa wengine ikiwamo Hamisa na Ali Kamwe….

Read More