Sowah kiatu anakitaka Bara | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Singida Black Stars, Jonathan Sowah ameanza maisha yake vyema katika kikosi hicho tangu ajiunge nacho dirisha dogo la Januari mwaka huu akitokea Al-Nasr Benghazi ya Libya, hivyo kuanza kutishia upya vita ya ufungaji bora akionyesha anakitaka kiatu cha dhahabu. Sowah tangu ajiunge na Singida amecheza michezo sita ya Ligi Kuu na kufunga mabao…

Read More

Mkuu wa UN anataka amani na haki wakati Ramadhani inapoanza – maswala ya ulimwengu

“Katika mwezi huu mtakatifu, wacha sote tuinuliwe na maadili haya na tukumbatie ubinadamu wetu wa kawaida ili kujenga ulimwengu wa haki na amani kwa wote“Alisema katika ujumbe. Pia aliongeza ujumbe maalum wa msaada kwa wale wanaopata shida, uhamishaji na vurugu. “Ninasimama na wale wote wanaoteseka. Kutoka Gaza na mkoa mpana, hadi Sudani, Sahel na zaidi,“Alisema,…

Read More

Baresi akiri anastahili ‘thank you’

SAA chache baada ya uongozi wa Mashujaa kuvunja benchi lao la ufundi, aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mohamed Abdallah ‘Bares’ amesema wamewajibika kutokana na matokeo mabovu ya timu hiyo. Baada ya kipigo cha mabao 3-0 dhidi ya Singida Black Stars, uongozi wa Mashujaa ulitoa taarifa ya kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na kocha huyo, kocha…

Read More

Zidane aitaja janja ya Job

MSHAMBULIAJI chipukizi wa Azam, Zidane Sereri amesema kama kuna beki anayemuumiza akili inapotokea wanakutana katika mechi basi ni Dickson Job wa Yanga kwa aina ya ukabaji wake, unakuwa unahitaji akili kubwa kuvuka eneo lake. Zidane ndiye aliyeinyima Simba pointi tatu baada ya kufunga bao la kusawazisha dakika mbili kabla ya mchezo kumalizika kwa sare mabao…

Read More

Maujanja ya Simba yapo hapa

SIMBA ya msimu huu chini ya Kocha Fadlu Davids imeonekana moto, ikiusaka ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kulikosa kwa misimu mitatu mfululizo, lakini ikiwa timu pekee iliyosalia katika michuano ya CAF ikitinga robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Simba iliyocheza mechi 20 ikikusanya pointi 51, ikiwa imefunga mabao 43 na kufungwa nane…

Read More

Pamba Jiji v Yanga ni mechi ya kiufundi

PAMBA Jiji ni wazi bado inakumbuka kipigo cha mabao 4-0 ilichopewa na Yanga Oktoba 3 mwaka jana katika mechi ya duru la kwanza ya Ligi Kuu Bara, licha ya kwanza tangu kuanza kwa duru la pili timu hiyo imeonekana kuimarika zaidi na kucheza kwa akili kubwa hasa inapokuwa CCM Kirumba. Timu hizo zinatarajiwa kukutana leo…

Read More

Türk anaita hadithi za 'dehumanzizing' kwenye Gaza – maswala ya ulimwengu

Bwana Türk – akifanya matamshi yake ya kufunga wakati wa kikao kuripoti juu ya eneo lililochukuliwa la Palestina huko Baraza la Haki za Binadamu – Alisema alikuwa akisumbuliwa sana na “ujanja hatari wa lugha” na disinformation ambayo inazunguka majadiliano juu ya mzozo wa Palestina-Israeli. “Tunahitaji kuhakikisha kuwa tunapinga juhudi zote za kueneza woga au kuchochea…

Read More

Rwanda yaichongea DRC UN | Mwananchi

Geneva. Mgogoro unaoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), umechukua sura mpya baada ya Rwanda kuishtakia Serikali ya Rais Felix Tshisekedi kuwa inatekeleza mauaji dhidi ya raia. Katika hotuba yake jana mbele ya Baraza la 58 la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UN) Geneva Uswisi, Waziri wa Waziri wa…

Read More