MSHAMBULIAJI wa Singida Black Stars, Jonathan Sowah ameanza maisha yake vyema katika kikosi hicho tangu ajiunge nacho dirisha dogo la Januari mwaka huu akitokea Al-Nasr
Month: February 2025

“Katika mwezi huu mtakatifu, wacha sote tuinuliwe na maadili haya na tukumbatie ubinadamu wetu wa kawaida ili kujenga ulimwengu wa haki na amani kwa wote“Alisema

SAA chache baada ya uongozi wa Mashujaa kuvunja benchi lao la ufundi, aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mohamed Abdallah ‘Bares’ amesema wamewajibika kutokana na matokeo

MSHAMBULIAJI chipukizi wa Azam, Zidane Sereri amesema kama kuna beki anayemuumiza akili inapotokea wanakutana katika mechi basi ni Dickson Job wa Yanga kwa aina ya

SIMBA ya msimu huu chini ya Kocha Fadlu Davids imeonekana moto, ikiusaka ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kulikosa kwa misimu mitatu mfululizo, lakini

PAMBA Jiji ni wazi bado inakumbuka kipigo cha mabao 4-0 ilichopewa na Yanga Oktoba 3 mwaka jana katika mechi ya duru la kwanza ya Ligi

Bwana Türk – akifanya matamshi yake ya kufunga wakati wa kikao kuripoti juu ya eneo lililochukuliwa la Palestina huko Baraza la Haki za Binadamu –

UNAIDS Alisema kuwa angalau ripoti ya hali moja juu ya athari za kupunguzwa imepokelewa kutoka nchi 55 tofauti hadi mwanzo wa wiki hii. Hiyo ni

Dar es Salaam. Viongozi wakuu na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nwamejitokeza kwa wingi makao makuu ya chama hicho Mikocheni kwenye uzinduzi

Geneva. Mgogoro unaoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), umechukua sura mpya baada ya Rwanda kuishtakia Serikali ya Rais Felix Tshisekedi