TANZANIA NA MISRI KUSHIRIKIANA KUKUZA SEKTA YA UTALII

Na Happiness Shayo- Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, zimekutana kujadiliana namna bora ya kushirikiana katika kukuza na kuendeleza utalii baina ya nchi hizo mbili. Hayo yamejiri leo Februari 18,2025 jijini Dar es Salaam katika kikao kati ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi,…

Read More

MRADI WA ELIMU WA CORE KUBORESHA NA KUWAJENGEA UWEZO WALIMU WA SHULE ZA AWALI NCHINI

WIZARA Ya Elimu,Sayansi na Teknolojia itaendelea Kushirikiana na Wadau Mbalimbali wa Elimu hususani Taasisi na Mashirika Kuhakikisha Mazingira rafiki Kwa Kujifunzia na Ufaulu Unaongezeka Mashuleni. Akizungumza na Wanahabari  wakati wa  akizindua Mradi wa Elimu wa  Mafunzo kwa Walimu wa Shule za Awali  ( CORE) kupitia Shirika la Montessori  Mwakilishi Kutoka Wizara ya Elimu ambae ni…

Read More

Benki ya CRDB yapongezwa kukusanya Sh. Bilioni 323 hatifungani ya Samia Infrustructure Bond ikizidi lengo kwa 115%

Dar es Salaam. Tarehe 18 Februari 2025: Ikiwa katika maadhimisho ya miaka 30 tokea kuanzishwa kwake, Benki ya CRDB imetangaza mafanikio makubwa ya hatifungani ya miundombinu ya ‘Samia Infrastructure Bond,’ ambayo imevuka lengo kwa asilimia 115, ikikusanya Shilingi bilioni 323 – zaidi ya mara mbili ya lengo lake la awali la kukusanya Shilingi bilioni 150….

Read More

Majeruhi wa mgodi yanaendelea kama washirika wa UN wanapoongeza shughuli za kibali – maswala ya ulimwengu

“Washirika wa hatua za mgodi wanaendelea kuripoti majeruhi kwa sababu ya kulipuka kwa kulipuka, na Hiyo inafanyika kwa kusikitisha kila siku“Bwana Dujarric alielezea katika mkutano wa waandishi wa habari Jumatatu huko New York. Wakulima na wachungaji ni hatari sana. Tangu Januari, Zaidi ya watu 60 wameuawa na zaidi ya 90 kujeruhiwa, Wengi wakati wa kutunza…

Read More

BIASHARA SAA 24 ITAONGEZA MAPATO – RC CHALAMILA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila amesema Jiji la Dar es Salaam litakapoanza kufanya biashara saa 24 mapato ya Wafanyabiashara yataongezeka sambamba na kukua kwa uchumi wa nchi kwa ujumla  kutokana na kuongezeka kwa wigo wa biashara. Ameyasema hayo leo tarehe 18.02.2025 alipomtembelea Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…

Read More

Gramu 506.63 za heroin zawatupa jela maisha 

Arusha. Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Masijala imewahukumu kifungo cha maisha jela watuhumiwa wawili baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin. Hukumu hiyo ilitolewa Februari 14, 2023 na Jaji Sedekia Kisanya na nakala yake kuwekwa kwenye mtandao wa Mahakama. Waliohukumiwa adhabu hiyo ni…

Read More

Sh78 bilioni kuwainua wakulima, wafugaji

Pemba. Katika kuwakomboa wakulima na wafugaji, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imetenga Sh78 bilioni kwa ajili ya mikopo itakayosaidia kukuza shughuli na uchumi wao katika sekta ya kilimo. Fedha hizo zitatolewa na Benki ya Maendeleo (TADB) kwa kushirikiana na Shirika la Heifer International Tanzania. Akitoa ufafanuzi juu ya mikopo kupitia benki hiyo leo Februari 18,…

Read More

Watano wafa maji, wamo watatu wa familia moja

Watu watano wakiwemo watatu wa familia moja wamefariki dunia baada ya kuzama kwenye la maji lililopo jirani na makazi yao katika Kijiji cha Bulige, Halmashauri ya Msalala, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga. Akithibitisha tukio hilo leo Jumanne Februari 18, 2025, Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wilayani Kahama, Stanley Luhwago amewataja waliofariki dunia ni…

Read More

Visa vya watoto wa pili kwenye familia

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa utafiti nafasi ya mtoto kuzaliwa katika familia, inaweza kuathiri tabia zake. Inaelezwa kwa mfano, wakati watoto wa kwanza huwa na tabia za uongozi katika kufanya majukumu yao na hata kuwaongoza wadogo zao; watoto wa mwisho au vitinda mimba wanaongoza kwa kudeka. Aghalabu, huona kila majukumu wanayopewa kama hawastahili. Watoto…

Read More