Mwekezaji wa Kimarekani Atangaza Mpango ya Kujenga Hoteli ya Kisasa Hifadhi ya Serengeti, Atafuta Washirika wa Ndani.

Katika hatua inayolenga kubadili taswira ya utalii wa Tanzania, Kampuni ya Maendeleo Hospitality Ventures (MHV), inayoongozwa na kundi la wawekezaji wa Kimarekani, imetangaza mpango wake unaolenga kujenga hoteli ya kifahari yenye hadhi ya nyota tano katika Kijiji cha Robanda, karibu na Lango la Fort Ikoma la Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Mpango huu unalenga kuimarisha…

Read More

Umwagiliaji utakavyowanufaisha wakulima wadogo Mara

Musoma. Zaidi ya wakulima wadogo 700 mkoani Mara wanatarajiwa kunufaika na kilimo cha umwagiliaji kufuatia utekelezaji wa mradi wa uchimbaji wa visima vya umwagiliaji, ambao unatarajiwa kugharimu zaidi ya Sh244 milioni. Mradi huu unahusisha uwekaji wa miundombinu ya umwagiliaji na unatarajiwa kunufaisha wakulima kutoka wilaya nne za mkoa huo. Utekelezaji wa mradi huu unatarajiwa kukamilika ndani…

Read More

Mamlaka ya Serikali Mtandao yatoa Tuzo kwa Taasisi Vinara kwenye utekelezaji wa Serikali Mtandao

MAMLAKA ya Serikali Mtandao kutoa Tuzo Taasisi Vinara kwenye utekelezaji wa Serikali Mtandao mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imetoa tuzo kwa Taasisi za Umma zilizofanya vizuri katika utekelezaji wa Serikali Mtandao ikiwa ni sehemu ya mipango ya Serikali ya kuchochea matumizi TEHAMA Serikalini ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi. Akizungumza wakati wa ugawaji wa Tuzo…

Read More

Benki ya Absa ya endelea kusambaza upendo wa Siku ya Wapendanao kwa wajasiriamali

Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam KATIKA kile kilichoelezwa kuwa ni kujali stori za maisha ya wajasiriamali wadogo wanaojishughulisha na uchuuzi wa maua, Benki ya Absa Tanzania imewatembelea wafanyabiashara hao, kuzungumza nao na kuwapa motisha mbalimbali, ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Siku ya Wapendanao iliyoadhimishwa duniani kote hivi karibuni. Akizungumza katika hafla hiyo katika eneo…

Read More

Zanzibar inavyojipanga kuzikabili changamoto uchumi wa buluu

Unguja. Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar imekiri kukabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo zinahitaji mtazamo wa sekta mtambuka ikiwemo mazingira, uchumi, teknolojia na utawala wa kimataifa. Hayo yamebainishwa leo Februari 18, 2025 na Waziri wa wizara hiyo, Shaaban Ali Othman katika mkutano wa 18 wa Baraza la Wawakilishi wakati akijibu swali la Mwakilishi…

Read More

MUHIMBILI YAWARUHUSU PACHA HASSAN NA HUSSEIN KURUDI NYUMBANI IGUNGA BAADA YA UPASUAJI WA KUWATENGANISHA NCHINI SAUDI ARABIA

Watoto pacha Hassan na Hussein Amri Jummane (3) wakazi wa Igunga Mkoani Tabora, waliozaliwa Agosti 2021 wakiwa wameungana kwa kiasi kikubwa kwenye nyonga, kifua, tumbo, miguu mitatu, kibofu cha mkojo, utumbo na sehemu ya maumbile na Oktoba 5, 2023 kufanyiwa upasuaji wa kutenganishwa nchini Saudi Arabia na kurejea nchini Disemba 2024 kisha kupokelewa Hospitali ya…

Read More

Zabibu inavyorudisha nguvu za kiume kwa wazee

Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Tianjin, Kaskazini mwa China, wanasema kuwa wanaume ambao wanaokunywa sharubati ya zabibu mara tano kwa siku au hata zaidi kwa wiki, wanaweza kupunguza tatizo la kukosa hamu wakati wa tendo la ndoa. Sampuli ya wanaume 300 wenye tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume walihusishwa sambamba na  wengine 300 ambao…

Read More

Mahakama Yamuru Kukamatwa kwa Mkurugenzi wa Benki ya NBC.

MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, imeamuru kukamatwa kwa Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Theobald Sabi, kwa kushindwa kutekeleza hukumu inayoitaka benki hiyo kurudisha hati ya umiliki wa kiwanja kilichopo Kariakoo kilichotumika kudhamini mkopo wa shilingi bilioni 3. Jaji Lusungu Hemed alitoa amri hiyo Jumatatu Februari 17, 2025 baada ya…

Read More